Pelekaroho
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 1,599
- 368
Ataweza minyukano ya RUSHWA? Kwa sababu zile pesa alizokuwa akipewa alipokuwa CDM sasa ni wakati muafaka kuzirejesha pamoja na riba, maana kwa hiyari yake aliamua kutoka kwenye utafutaji uongozi kwa njia ya haki mpaka kwenye utafutaji uongozi kwa njia za kiharamia(yaani rushwa). Je, ataweza?