Shishi aja kivingine

Shishi aja kivingine

Sisi tumechukua ya jina la mtu...
Kama Trump alivyo strong anakomaa,na shishi ni hivyo hivyo

Maana nyingine ya trump ni karata yenye thamani ya juu kabisa kwenye aina ya mchezo wa karata kulinganisha na karata nyingine (kamusi ya kiingereza).
 
Safi sana kiuno cku hizi hwkilupi hali ngumu apo atapatapata hata kama kidogo all in all big up shishi baibe
 
Dah..!!! kiuno hakilipi tena.....??? Magu kiboko...
Ukiongelea mwanamke wa nguvu huwezi kuacha kumtaja shishi,unaanzaje labda kwa mfano kutomtaja....

Aja kivingine,kwa mikono yake miwili mtoto wa Igunga anakupikia chakula asilia kisicho na chemical plus juice za asili e.g tikiti maji juice,embe na passion juice plus nanasi juice na delivery juu....

Its about time wanaume wa Dar warudishe heshima kune mahusiano yao kwa kupata chakula cha asili kabisa kitakupa nguvu na kuimarisha mambo yetu yale...

Ewe dada achana na machips yanayoleta vitambi,njoo shishitrump delivery tukuhudumieee...

Yupo kijitonyama,karibuni sana...
Ef kumi yako tu....

Namba ya mawasiliano...0716101721

Tumsupport shoga yangu jamani...btw atakaekuja Kijitonyama nipo namalizia malizia kula kolekole wa mchuzi,mchicha wa karanga na ugali wangu wa motooo mlainiii(ila usiniombe[emoji23][emoji23][emoji23],hakiombeki)

View attachment 439360
 
Kazi nzuri,nimeipenda.Hongera Shishi...
Siku nikiwa na kidate nitapendekeza tuje kwako tukuungishe [emoji12]
I see ninamuona dada wa open kitchen alivyowekeza kwenye hii biashara, kweli inalipa, uwe tu mmbunifu.
 
Vipi msambwanda wake haulipi sikuhizi???

Kweli baada ya mwaka tutaona mengi.
Shkamoo baba j
 
Huyu si ndio alikuwa anapiga kampen na chama flan hivi kwenye uchaguzi.... Hahahahaha hata bure siwezi kula chakula chake
 
Amefanya vizuri kujituma katika ujasiriamali, asikate tamaa. Kwenye ujasiriamali kuna changamoto za hapa na pale hasa siku/miezi ya mwanzoni.
Delivery cost ni bei gani ukiwa upo nje ya kijitonyama mfano nipo kimara au mbezi.
 
Basi sawa, nitapita hapo weekend... kwanza nam-feel Shishi, sema dah, hili jina la Shilole huwa linanikumbusha mbali sana!!!
 
scorpio me Hebu niulizie kama wapo open mpaka muda gani. Nataka nipitie hapo jioni ya saa 3 nimuungishe. Sijui nawe ntakukuta tuelekee nyumbani....... Au utakuwa ushaondoka?
 
Back
Top Bottom