Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,339
- 1,493
Habari Tanzania !.
Natamani kuwaona vijana wa Taifa hili kuanzia miaka 18 hadi 45 wanakuwa wanachama rasmi wa ushirika wa Taifa awe anataka au hataki kama vile mnavyowapeleka Vijana JKT kwa mujibu wenu uleeee.
Hili Shirika lingefaa zaidi kuwaweka Vijana kwenye makundi 3:
1. Wenye Elimu au Ujuzi wa Sayansi
2. Wenye Elimu au Ujuzi wa Biashara
3. Wenye Elimu au Ujuzi wa sanaa
Tunaweka wakae pamoja. Lengo napenda kuona Taifa lenye nguvu nyanja zote kiuchumi, kisiasa, kisheria, kimazingira na kiteknolojia. Tusizidiwe na dunia kivyovyote vile. Kila kijana alazimike kuonyesha uwezo wake kwa namna moja au nyingine kuifanyia kazi nchi.
Akifikisha miaka 46, tunamuondoa awe mnufaika sasa wa matunda aliyoyatengeneza yeye na wengine.
Dunia ya leo inahitaji mipango sana na hekima ya hali ya juu.
Karibuni
Natamani kuwaona vijana wa Taifa hili kuanzia miaka 18 hadi 45 wanakuwa wanachama rasmi wa ushirika wa Taifa awe anataka au hataki kama vile mnavyowapeleka Vijana JKT kwa mujibu wenu uleeee.
Hili Shirika lingefaa zaidi kuwaweka Vijana kwenye makundi 3:
1. Wenye Elimu au Ujuzi wa Sayansi
2. Wenye Elimu au Ujuzi wa Biashara
3. Wenye Elimu au Ujuzi wa sanaa
Tunaweka wakae pamoja. Lengo napenda kuona Taifa lenye nguvu nyanja zote kiuchumi, kisiasa, kisheria, kimazingira na kiteknolojia. Tusizidiwe na dunia kivyovyote vile. Kila kijana alazimike kuonyesha uwezo wake kwa namna moja au nyingine kuifanyia kazi nchi.
Akifikisha miaka 46, tunamuondoa awe mnufaika sasa wa matunda aliyoyatengeneza yeye na wengine.
Dunia ya leo inahitaji mipango sana na hekima ya hali ya juu.
Karibuni