SHIRIKA LA RELI NCHINI LINAPASWA KUJITATHIMINI

SHIRIKA LA RELI NCHINI LINAPASWA KUJITATHIMINI

Mateso chakubanga

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2021
Posts
649
Reaction score
903
Utendaji wa shirika la reli nchini hususani treni za kutoka na kuelekea mikoa ya Dodoma, Tabora na Kigoma limekua linakatisha tamaa kutokana na huduma zake za kubabaisha treni halina muda maalumu wa kutoka pia hakuna muda maalum wa kusimama vituo vikubwa ,lugha ya uongo kutoka kwa waongozaji wa treni hali inayopelekea abiria wengi kufikiria kukacha kabisa usafiri huo na kugeukia magari Mabasi,vituo vikubwa vya kusimama saa moja treni husimama masaa manne na, pia huduma na uchakavu wa miundombinu ya treni hizo.
 
Hivi skuizi bado kuna gari moshi ya Dodoma, Mwanza, Tabora na Kigoma...🤔
 
Back
Top Bottom