Mkuu hizi ndege zilinunuliwa na Serikali bila mkopo. ATCL ni kampuni ya Serikali na sio ya watu binafsi au makampuni mengine.
Kwa wale wagumu wakuelewa vitu "Zimenunuliwa haziku kodishwa".
Ziko chini ya TGFA, then zimekodishwa/leased ATCL.. legally sio za ATCL, ni za TGFA
Why..? Bcoz ATCL wanadaiwa sana madeni makubwa ya kihuni tu, kutokana na mikataba feki walioingia miaka ya nyuma, so serikali ikafanya
hivyo kukwepa ATCL kushtakiwa na wadaiwa, so ATCL wana operate tu, but ni za TGFA
TGFA ni kitengo maalum cha Anga cha Mh. Rais, ni ndege za Rais ziliko, in other meaning, ATCL imeekwa chini ya usalama maalum na ulinzi, na makachero kibao thru TGFA, tit for tat..
TGFA is like Air Force One in other words, ila inatoa huduma za anga kwa Mh. Rais Bara, Rais Znz, Makamu wa Rais bara, Makamu wa Rais Znz na Waziri Mkuu.. wako makini sana sana, but makachero tupu nijuavyo..