sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,486
Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Shirika la Ndege nchini ATCL linalomiliki ndege mbili aina ya BOMBERDIER Mhandisi Ladislaus Matindi, amewaeleza Waandishi wa habari kuwa, shirika hilo linakabiliwa na changamoto zikiwepo;
==Ucheleweshwaji wa ndege
==Kutokuwa na ndege maeneo yaliyopaswa kuhudumiwa na ndege za shirika hilo.
Ameeleza tatizo ni kutokana na shirika hilo kuwa na IDADI NDOGO YA MARUBANI ambapo hadi sasa kuna marubani wanne tu huku wengine wapo mafunzoni.
Je huyu Mhandisi anatosha katika nafasi yake hiyo ya Ukurugenzi?
==Ucheleweshwaji wa ndege
==Kutokuwa na ndege maeneo yaliyopaswa kuhudumiwa na ndege za shirika hilo.
Ameeleza tatizo ni kutokana na shirika hilo kuwa na IDADI NDOGO YA MARUBANI ambapo hadi sasa kuna marubani wanne tu huku wengine wapo mafunzoni.
Je huyu Mhandisi anatosha katika nafasi yake hiyo ya Ukurugenzi?