kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,068
- 18,076
Hivi hili taifa lina usalama au serikali kweli?
Hili shirika linasambaza ushoga kupitia kugawa vilainishi, Spray na dawa za ajabu ajabu.
Imekua ni clinic ya mashoga na wasagaji wakifundishwa njia za kufanya huo uchafu wao
Kibaya zaidi wameingia mashuleni kuna wasichana wengi tu wadogo wa sekondary pale ndo sehemu wanaenda kutolea mimba.
Serikali ipo tu na imejiridhikia tu, mfano niliona sehemu yao ya incinerator nilishangaa sana, hali ni mbaya sana.
Kule Mwanza wanapita vijijini wanatoa misaada ya afya kwa vijana kwa mgongo wa kuwaingiza kwenye ushoga!!Wana hadi magroup ya watssap ya kuingiza watu kwenye mtandao wa ushoga...Haya yanatokea katika nchi tunayosema ipo huru na ipo salama.
Kinachoendelea pale Marie Stopes ni ushetani na mauwaji ya watoto wachanga kupitia abortion....Hili shirika kule Marekani lilishajipambanua ni la kutoa mimba huku wanajifanya wanadeal na afya...Au katiba yetu inaruhusu kutoa mimba??
Hivi serikali itaendelea kunyamaza tu kufumbia macho huu ushetani unaoendelea?Najiuliza hili shirika limewapa nini viongozi wetu kwanini hawachukuliwi hatua?
Mnaona raha watoto wadogo wa sekondari wa kiume wanavyofundishwa ushoga pale na watoto wa kike kutolewa mimba?
Hivi kama taifa tutaendelea kuvumilia huu upuuzi hadi lini?Hivi hii serikali ipo serious kweli?Hawa hawakupaswa kufungiwa tu, bali kupewa masaa matatu tu waondoke nchini.
Hili shirika linasambaza ushoga kupitia kugawa vilainishi, Spray na dawa za ajabu ajabu.
Imekua ni clinic ya mashoga na wasagaji wakifundishwa njia za kufanya huo uchafu wao
Kibaya zaidi wameingia mashuleni kuna wasichana wengi tu wadogo wa sekondary pale ndo sehemu wanaenda kutolea mimba.
Serikali ipo tu na imejiridhikia tu, mfano niliona sehemu yao ya incinerator nilishangaa sana, hali ni mbaya sana.
Kule Mwanza wanapita vijijini wanatoa misaada ya afya kwa vijana kwa mgongo wa kuwaingiza kwenye ushoga!!Wana hadi magroup ya watssap ya kuingiza watu kwenye mtandao wa ushoga...Haya yanatokea katika nchi tunayosema ipo huru na ipo salama.
Kinachoendelea pale Marie Stopes ni ushetani na mauwaji ya watoto wachanga kupitia abortion....Hili shirika kule Marekani lilishajipambanua ni la kutoa mimba huku wanajifanya wanadeal na afya...Au katiba yetu inaruhusu kutoa mimba??
Hivi serikali itaendelea kunyamaza tu kufumbia macho huu ushetani unaoendelea?Najiuliza hili shirika limewapa nini viongozi wetu kwanini hawachukuliwi hatua?
Mnaona raha watoto wadogo wa sekondari wa kiume wanavyofundishwa ushoga pale na watoto wa kike kutolewa mimba?
Hivi kama taifa tutaendelea kuvumilia huu upuuzi hadi lini?Hivi hii serikali ipo serious kweli?Hawa hawakupaswa kufungiwa tu, bali kupewa masaa matatu tu waondoke nchini.