Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,708
- 1,733
Mkuu, achana nao. Zowea kusikiliza/angalia vituo vya maana kama Deutsche Welle na Aljazeera huko utaelimika na kusuuzika roho yako.hii imekuwa si kificho tena nimefuatili sana habari zao hizi hawa jamaa wamekuwa chanzo cha kuwa attention watu kuhusu habari za ushoga
kwanini jamani?