Shirika la habari BBC linapromoti ushoga

Shirika la habari BBC linapromoti ushoga

Unasemaje mtu ni shoga wakati hujamjaribu? huu ushoga mbona unawakera sana ikiwa wanafanya hawani effect yeyote kwenu.
Mwuaji akuue ndio utaamini kuwa ni muuaji?
Mbona una kiwango kidogo cha kufikiri!
 
Personally huwa nawashangaa sana watu..how comes mtu afanye vitu vyake halafu mtu mwingine ukereke? Ni upuuzi kufatilia maisha binafsi ya mtu whether awe gay/ lesbian we inakuuma nini, watu bhana
Are you a fair guy?
Queer?
Kama unavyosema , its none of my business, but when you export it, it becomes MY business!
 
Are you a fair guy?
Queer?
Kama unavyosema , its none of my business, but when you export it, it becomes MY business!


I think you should get busy, using the highlighted word above is completely not fair and extremely offensive when used as an epithet!..Fanya yako..acha kufatilia maisha ya watu dogo.
 
Dalili za mwisho dunia;kama Sodoma kabla ya kuangamizwa walitaka kuwalawiti hata malaika !
[SOMA BIBLIA: MWANZO 19:4-29]
 
Ni mafundisho ya mashetani "KUWAZUIA WATU KUOA AU KUOLEWA" nk
[1 TIMOTHY 4:1-3;ROMANS 1:26-27Kjv].Ndoa kwa wote ni RUKSA
 
I think you should get busy, using the highlighted word above is completely not fair and extremely offensive when used as an epithet!..Fanya yako..acha kufatilia maisha ya watu dogo.
I abhor and treat with disgust such social vices.
A gay, a queer, cannot be an equal man among men!
Both in thinking and in moral standing.
 
Watu wa magharibi bure kabisa watuletea dini zao wakasema zetu zilikuwa za kisheji now wanapromoti mambo ambayo dini zao zinayakataza.Kama wanaona hali ujinga huu (ushoga) wakubali Dada zao kukeketwa.
 
Hilo si la kushangaa uingereza ni miongon mwa nchi za mwanzo kuruhusu ndoa za jinsia moja na kama haitosh yapo makanisa ya catholic yanafungsha ndoa hzo paspo na shaka yyote..hao ndo waingereza bhana Sir ni cheo kikubwa sna uingereza lakn Elton john anaitwa "sir" japokuwa ameolewa na m.me mwenzake

Hauna uhakika!

Ni kweli uingereza ni waumini wazuri wa ushoga, lakini sio kweli kanisa katoliki limewahi kufungisha ndoa za jinsia moja, kwanza ikumbukwe UK wametawaliwa na dhehebu la Anglikana ambalo limetangaza rasmi kuzitambua haki za msingi za mashoga nakuziheshimu ikiwa ni pamoja nakuwapa huduma zakiroho km kufungisha ndoa.

Kanisa katoliki limekuwa Mstari wa mbele sio tu kupinga
ndoa za jinsia moja bali hata matumizi ya kondomu yanapingwa na catholiki kwa misingi kuwa inachochea usinzi na zinaa ambayo ni kinyume na mpango wa MUNGU. nakumbuka mwaka 2012 Tanzania iliwahi kumtimua balozi wa UK nchini kwa tabia zake za ushoga.
 
Hapa kwenye thread tu wapo wanaousapoti uchoko,nini bbc!
Shame on u…hakuna siku usen'ge utakuwa kitu cha kawaida, ptuuuu!
 
BBC/Uk wote mashoga tu...tabu pale wanapotulazimisha tukubali mila zao,nyie oaneni tu sie mtuache na km vp misaada yenu bakini nayo,shwain!http://www.google.co.mz/url?sa=t&rc...Bhnwm4Eic-NuP3j7CLvLLYQ&bvm=bv.69137298,d.bGE

Nani kamlazimisha mtu ushoga?Watanzania tunapenda sana kulaumu.Watoto wetu wanafanya ushoga majumbani na mashuleni alafu tuna walaumu BBC? Watu wazima wana wabashia watoto wa wenzao mitaani nao wametumwa?Kama jamii tupinge ushoga kwa vitendo na si kupepesa macho.Kwani anaye mnanilihu Shoga ni nani kama si rijali.
 
Personally huwa nawashangaa sana watu..how comes mtu afanye vitu vyake halafu mtu mwingine ukereke? Ni upuuzi kufatilia maisha binafsi ya mtu whether awe gay/ lesbian we inakuuma nini, watu bhana

wewe ni shoga?
Kwanini unakasirika mashoga wakiandamwa?
Kwani we inakuuma nini mashoga wanaposemwa?
 
Hapa kwenye thread tu wapo wanaousapoti uchoko,nini bbc!
Shame on u…hakuna siku usen'ge utakuwa kitu cha kawaida, ptuuuu!

Ni kweli kabisa mkuu; kamwe ushoga hauwezi kuwa kitu cha kawaida.
mashoga wengi wamevamia huu uzi wanasapoti
use.nge wao.
UK imepata wafuasi;
 
Nani kamlazimisha mtu ushoga?Watanzania tunapenda sana kulaumu.Watoto wetu wanafanya ushoga majumbani na mashuleni alafu tuna walaumu BBC? Watu wazima wana wabashia watoto wa wenzao mitaani nao wametumwa?Kama jamii tupinge ushoga kwa vitendo na si kupepesa macho.Kwani anaye mnanilihu Shoga ni nani kama si rijali.

Halafu hao marijali ndio wa kwanza kukemea ushoga kwa maneno badala ya vitendo
 
Kama mashoga wameamua kwa ridhaa yao kuwa hivyo na ni sehemu ya jamii yetu unataka tuwafanyie nini ili usiumie sana unapowaskia? wenyewe wanenjoy na wako happy. tena wengi ni marijali safi. wewe u nani wa kuwahukumu? Shika lako achana na maamuzi ya watu wasiokuhusu wala kukudhuru watahukumiwa na mwenye kuwaumba mwisho wa siku.
 
Kama mashoga wameamua kwa ridhaa yao kuwa hivyo na ni sehemu ya jamii yetu unatokambezi tuwafanyie nini ili usiumie sana unapowaskia? wenyewe wanenjoy na wako happy. tena wengi ni marijali safi. wewe u nani wa kuwahukumu? Shika lako achana na maamuzi ya watu wasiokuhusu wala kukudhuru watahukumiwa na mwenye kuwaumba mwisho wa siku.
Si kubaliani na wewe
 
Back
Top Bottom