Shirika la habari BBC linapromoti ushoga

Shirika la habari BBC linapromoti ushoga

scatter

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
1,671
Reaction score
940
hii imekuwa si kificho tena nimefuatili sana habari zao hizi hawa jamaa wamekuwa chanzo cha kuwa attention watu kuhusu habari za ushoga
kwanini jamani?
 
acha mambo zako wewe, BBC ni international media house hawapo biased au prejudicial na lifestyle ya mtu yoyote wenyewe wanarusha news kama zilivyo and nothing else
 
acha mambo zako wewe, BBC ni international media house hawapo biased au prejudicial na lifestyle ya mtu yoyote wenyewe wanarusha news kama zilivyo and nothing else
Siyo siri, Cameron mwenyewe ni shoga toka miaka yake ya college.
Tukubaliane kuwa tabia hizi za kish.enzi za waingereza zidharauliwe na waafrika wote.
 
Hilo si la kushangaa uingereza ni miongon mwa nchi za mwanzo kuruhusu ndoa za jinsia moja na kama haitosh yapo makanisa ya catholic yanafungsha ndoa hzo paspo na shaka yyote..hao ndo waingereza bhana Sir ni cheo kikubwa sna uingereza lakn Elton john anaitwa "sir" japokuwa ameolewa na m.me mwenzake
 
Hilo si la kushangaa uingereza ni miongon mwa nchi za mwanzo kuruhusu ndoa za jinsia moja na kama haitosh yapo makanisa ya catholic yanafungsha ndoa hzo paspo na shaka yyote..hao ndo waingereza bhana Sir ni cheo kikubwa sna uingereza lakn Elton john anaitwa "sir" japokuwa ameolewa na m.me mwenzake
kanisa catholic linawawasha eee,hamuishi kulitajataja kijinga,hovyooooo!
 
Hilo si la kushangaa uingereza ni miongon mwa nchi za mwanzo kuruhusu ndoa za jinsia moja na kama haitosh yapo makanisa ya catholic yanafungsha ndoa hzo paspo na shaka yyote..hao ndo waingereza bhana Sir ni cheo kikubwa sna uingereza lakn Elton john anaitwa "sir" japokuwa ameolewa na m.me mwenzake

Kanisa katoliki ....si kweli na kama una ushahidi ulete sio kuongea tu.
 
Siyo siri, Cameron mwenyewe ni shoga toka miaka yake ya college.
Tukubaliane kuwa tabia hizi za kish.enzi za waingereza zidharauliwe na waafrika wote.

Unasemaje mtu ni shoga wakati hujamjaribu? huu ushoga mbona unawakera sana ikiwa wanafanya hawani effect yeyote kwenu.
 
Unasemaje mtu ni shoga wakati hujamjaribu? huu ushoga mbona unawakera sana ikiwa wanafanya hawani effect yeyote kwenu.

Personally huwa nawashangaa sana watu..how comes mtu afanye vitu vyake halafu mtu mwingine ukereke? Ni upuuzi kufatilia maisha binafsi ya mtu whether awe gay/ lesbian we inakuuma nini, watu bhana
 
hii imekuwa si kificho tena nimefuatili sana habari zao hizi hawa jamaa wamekuwa chanzo cha kuwa attention watu kuhusu habari za ushoga
kwanini jamani?

Bravo ndugu.Mashirika ya aina hii na sio hili tu yapigwe marufuku Tanzania.Hata kama ni ya kimataifa yasiwe na ofisi na wawakilishi humu na wanyimwe masafwa.Mambo yao huabisha uanadamu.Serekali haishindwi hili
 
Personally huwa nawashangaa sana watu..how comes mtu afanye vitu vyake halafu mtu mwingine ukereke? Ni upuuzi kufatilia maisha binafsi ya mtu whether awe gay/ lesbian we inakuuma nini, watu bhana

trust me wanaume wengi sana either wanafi.ra au kufirw.a kwa sasa...marital status doesnt apply here
 
trust me wanaume wengi sana either wanafi.ra au kufirw.a kwa sasa...marital status doesnt apply here

Thats true! na wengi wanao jifanya humu jamvini vinara..tukianza kuhoji sex orientation zao humu na background basi ni majanga! na vijana wengi wa vyuoni wamo humo..mbn tunatongozwa kila kukicha fb? sikuhizi hata si shangai..kama huamini nenda Uhuru Peak kinondoni ujionee majangaz.
 
nimeona hata wengi kati ya mashabiki waliopo brazil - wanamuelekeo wa ushoga...chunguza utagundua
 
Kwa hilo la bbc kuupromote ushoga ni kweli kabisa,mpk dw nao wanaupromote ushoga,sema humu jf kuna watu wajifanya hawaoni ukweli huo
 
trust me wanaume wengi sana either wanafi.ra au kufirw.a kwa sasa...marital status doesnt apply here

Kwenye nyekundu, maana yake kuoa au kuolewa, tutake radhi wake zetu wamo humu JF. By the way umefanya research? Basi lete data.
 
Back
Top Bottom