Shirika la Afya Duniani (WHO): Tanzania hakuna Ebola

SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) na Kitengo cha Kupambana na Magonjwa kutoka Marekani (CDC), wamethibitisha kuwa Tanzania hakuna mlipuko wa ugonjwa wa ebola.

Uthibitisho huo umekuja baada ya Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, kuruhusu kuchukua sampuli za wagonjwa waliodhaniwa kuwa na ebola na baada ya kupima wamethibitisha kuwa Tanzania hakuna ebola.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Faustine Ndugulile jana alifanya mazungumzo na Mkurugenzi wa CDC wa Marekani, Robert Redfield aliyewasili nchini juzi kwa ajili ya kuangalia namna ya Marekani itakavyoweza kushirikiana na Tanzania katika kudhibiti magonjwa ya mlipuko.

Kutokana na mazungumzo baina ya pande hizo mbili jana imeelezwa kuwa hadi sasa Tanzania haina mgonjwa wa ebola.

Katika taarifa yake, Redfied alisema Marekani na Tanzania zitaendelea kushirikiana na kuisaidia Tanzania katika juhudi zake za kupambana na kudhibiti magonjwa ya mlipuko kupitia Global Health Security Alisema lengo kuu la Marekeani ni kuendelea kushirikiana na nchi marafiki kulinda usalama wa afya dunia.

Mbali na Tanzania Ofisa huyo atazuru nchi za Rwanda, Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambako kumeripotiwa kuwa na ugonjwa wa Ebola.

Ofisa huyo amekuja nchini na kufanya mazungumzo na Dk Ndungulile, ikiwa ni siku chache baada ya serikali kutoa tamko kuwa hakuna mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini.

Mwishoni mwa wiki iliyopita, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, alisema tetesi za kuwa ugonjwa huo upo nchini si za kweli na kwamba wagonjwa wawili ambao walihisiwa kuwa na ugonjwa huo vipimo vimeonesha kuwa hawana kitu.

Ummy alisema mpaka sasa hakuna mgonjwa aliyethsibitika kuwa na ugonjwa huo na kwamba serikali inaendelea kuchukua tadhari kudhibiti ugonjwa huo.

Kauli ya Waziri Ummy ilikuja baada ya kuenea tetesi kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, kuwa kuna mtu mmoja amefariki dunia kwa ugonjwa huo na wawili wamewekwa karantini.

Pia tetesi hizo zilichagizwa zaidi na waraka wa WHO na ule wa Umoja wa Mataifa (UN) ambao ulisema kuna tetesi za kuwa Tanzania kuna ugonjwa usiojulikana na kwamba wanachunguza tetesi hizo.

Alisema wagonjwa wawili ambao walihisiwa kuwa na ugonjwa huo mmoja kutoka Songea na mwingine Dar es Salaam, wamechukuliwa sampuli mara mbili kwa nyakati tofauti na vipimo vimeonesha hawana mambukizi ya ebola.

Tangu Agosti mwaka 2018, DRC ilivyobainika kuwa na mlipuko wa ugonjwa huo mpaka Agosti 12, mwaka huu, jumla ya wagonjwa 3,099 wamefariki dunia.

Kufuatia hali hiyo serikali imechukua tadhari kwa kununua vifaa vya mkononi vya kupima joto 2,700 na mavazi kinga na kusambaza katika mikoa ya Kagera, Mwanza, Kigoma, Rukwa Katavi na Dar es Salaam.

Pia, wametoa mafunzo kwa watumishi 460 na kwa upande wa ngazi ya jamii wametoa mafunzo hayo kwenye kada mbalimbali ambapo 264 ikiwemo waendesha bodaboda wamenufaika na mafunzo hayo.
 
Kwa hiyo huyo binti daktari aliyekufa aliuawa na nini, mbona hatuambiwi?
watu wengi hufa kwa vitu vingi tu mbalimbali kutokana na weakness mbalimbali /kutokana na tabia zetu waafrica kutokuwa na culture ya kufanya vipimo mara kwa mara./wengi hukutwa na mauti wakati wa final stage ya maradhi yao.
 
Kwani Kigogo2014 kasemaje? Mbona Uzi umedoda? BAVICHA mlipenda sana kusikia kuna Ebola?
 
SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) na Kitengo cha Kupambana na Magonjwa kutoka Marekani (CDC), wamethibitisha kuwa Tanzania hakuna mlipuko wa ugonjwa wa ebola.

Uthibitisho huo umekuja baada ya Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, kuruhusu kuchukua sampuli za wagonjwa waliodhaniwa kuwa na ebola na baada ya kupima wamethibitisha kuwa Tanzania hakuna ebola.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Faustine Ndugulile jana alifanya mazungumzo na Mkurugenzi wa CDC wa Marekani, Robert Redfield aliyewasili nchini juzi kwa ajili ya kuangalia namna ya Marekani itakavyoweza kushirikiana na Tanzania katika kudhibiti magonjwa ya mlipuko.

Kutokana na mazungumzo baina ya pande hizo mbili jana imeelezwa kuwa hadi sasa Tanzania haina mgonjwa wa ebola.

Katika taarifa yake, Redfied alisema Marekani na Tanzania zitaendelea kushirikiana na kuisaidia Tanzania katika juhudi zake za kupambana na kudhibiti magonjwa ya mlipuko kupitia Global Health Security Alisema lengo kuu la Marekeani ni kuendelea kushirikiana na nchi marafiki kulinda usalama wa afya dunia.

Mbali na Tanzania Ofisa huyo atazuru nchi za Rwanda, Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambako kumeripotiwa kuwa na ugonjwa wa Ebola.

Ofisa huyo amekuja nchini na kufanya mazungumzo na Dk Ndungulile, ikiwa ni siku chache baada ya serikali kutoa tamko kuwa hakuna mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini.

Mwishoni mwa wiki iliyopita, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, alisema tetesi za kuwa ugonjwa huo upo nchini si za kweli na kwamba wagonjwa wawili ambao walihisiwa kuwa na ugonjwa huo vipimo vimeonesha kuwa hawana kitu.

Ummy alisema mpaka sasa hakuna mgonjwa aliyethsibitika kuwa na ugonjwa huo na kwamba serikali inaendelea kuchukua tadhari kudhibiti ugonjwa huo.

Kauli ya Waziri Ummy ilikuja baada ya kuenea tetesi kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, kuwa kuna mtu mmoja amefariki dunia kwa ugonjwa huo na wawili wamewekwa karantini.

Pia tetesi hizo zilichagizwa zaidi na waraka wa WHO na ule wa Umoja wa Mataifa (UN) ambao ulisema kuna tetesi za kuwa Tanzania kuna ugonjwa usiojulikana na kwamba wanachunguza tetesi hizo.

Alisema wagonjwa wawili ambao walihisiwa kuwa na ugonjwa huo mmoja kutoka Songea na mwingine Dar es Salaam, wamechukuliwa sampuli mara mbili kwa nyakati tofauti na vipimo vimeonesha hawana mambukizi ya ebola.

Tangu Agosti mwaka 2018, DRC ilivyobainika kuwa na mlipuko wa ugonjwa huo mpaka Agosti 12, mwaka huu, jumla ya wagonjwa 3,099 wamefariki dunia.

Kufuatia hali hiyo serikali imechukua tadhari kwa kununua vifaa vya mkononi vya kupima joto 2,700 na mavazi kinga na kusambaza katika mikoa ya Kagera, Mwanza, Kigoma, Rukwa Katavi na Dar es Salaam.

Pia, wametoa mafunzo kwa watumishi 460 na kwa upande wa ngazi ya jamii wametoa mafunzo hayo kwenye kada mbalimbali ambapo 264 ikiwemo waendesha bodaboda wamenufaika na mafunzo hayo.
Mkuu hii habari ina ukakasi, Tuombe iwe hivyo maana Nyerere alisema mfichaficha maradhi kilio kitamfichua. Al Jazeera wame report kwamba Tanzania imekataa ku share details on Ebola.
 
Nyie ma-ccm hamuijui ebola, yaani mmefungia mdada watu afe ili kuficha nini? Ngoja nieatafute ndugu zake nitarudi, wapumbabu wakubwa nyie
 
Mbona nimeona hii habari sasa hivi iko yahoo.com inasema vingine.

UPDATE 3-World Health Organisation: Tanzania not sharing information on Ebola
(Adds details, background)
DAR ES SALAAM, Sept 22 (Reuters) - Tanzania is refusing to provide detailed information on suspected Ebola cases, the World Health Organisation (WHO) said in a rare public rebuke as the region struggles with an outbreak already declared a global health emergency.
Transparency and speed are key to combating the deadly hemorrhagic fever because it can spread rapidly. Contacts of potentially infected persons must be quarantined and the public warned to step up precautions like handwashing.
WHO said in a statement late on Saturday that it was made aware on Sept. 10 of the death of a patient in Dar es Salaam, and unofficially told the next day that the person tested positive for Ebola. The woman had died on Sept. 8.
"Identified contacts of the deceased were unofficially reported to be quarantined in various sites in the country," the statement said.
WHO said it was unofficially told that Tanzania had two other possible Ebola cases. One had tested negative and there was no information on the other.
Officially, the Tanzanian government said last weekend it had no confirmed or suspected cases of Ebola. The government did not address the death of the woman directly and did not provide further information.
Despite several requests, "clinical data, results of the investigations, possible contacts and potential laboratory tests performed ... have not been communicated to WHO", the U.N. agency said.
"The limited available official information from Tanzanian authorities represents a challenge."
Officials in Tanzania's health ministry could not be reached for comment.
Authorities in east and central Africa have been on high alert for possible spillovers of Ebola from the Democratic Republic of Congo, where a year-long outbreak has killed more than 2,000 people.
The WHO was heavily criticised by experts during West Africa’s 2014-2016 Ebola epidemic, which claimed more than 11,300 lives in Guinea, Liberia and Sierra Leone, for not moving more quickly to contain the outbreak, which remains the world’s worst.

FEARS SPREAD
Last week the U.S. health secretary, Alex Azar, criticised Tanzania for failing to share information on the possible outbreak. The next day he sent a senior health official to Tanzania.
Uganda has already recorded several cases after sick patients crossed the border from Congo. A quick government response there prevented the disease spreading.
The 34-year-old woman who died in Dar es Salaam had travelled to Uganda, according to a leaked WHO document circulated earlier this month. She showed signs of Ebola including headache, fever, rash and bloody diarrhoea on Aug. 10 and died on Sept. 8.
Tanzania relies heavily on tourism and an outbreak of Ebola would likely discourage visitors.
The WHO statement is not the first time international organisations have queried information from the government of President John Magufuli, nicknamed The Bulldozer.
Earlier this year, the World Bank and the International Monetary Fund contradicted the government's economic growth figure for 2018. (Additional reporting by Stephanie Nebehay; Writing by Elias Biryabarema Editing by Katharine Houreld, Robert Birsel and Raissa Kasolowsky)
 
Hao WHO wanaolalama kukosa ushirikiano ndio hawa hawa wanaosema hakuna ugonjwa?
 
SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) na Kitengo cha Kupambana na Magonjwa kutoka Marekani (CDC), wamethibitisha kuwa Tanzania hakuna mlipuko wa ugonjwa wa ebola.

Uthibitisho huo umekuja baada ya Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, kuruhusu kuchukua sampuli za wagonjwa waliodhaniwa kuwa na ebola na baada ya kupima wamethibitisha kuwa Tanzania hakuna ebola.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Faustine Ndugulile jana alifanya mazungumzo na Mkurugenzi wa CDC wa Marekani, Robert Redfield aliyewasili nchini juzi kwa ajili ya kuangalia namna ya Marekani itakavyoweza kushirikiana na Tanzania katika kudhibiti magonjwa ya mlipuko.

Kutokana na mazungumzo baina ya pande hizo mbili jana imeelezwa kuwa hadi sasa Tanzania haina mgonjwa wa ebola.

Katika taarifa yake, Redfied alisema Marekani na Tanzania zitaendelea kushirikiana na kuisaidia Tanzania katika juhudi zake za kupambana na kudhibiti magonjwa ya mlipuko kupitia Global Health Security Alisema lengo kuu la Marekeani ni kuendelea kushirikiana na nchi marafiki kulinda usalama wa afya dunia.

Mbali na Tanzania Ofisa huyo atazuru nchi za Rwanda, Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambako kumeripotiwa kuwa na ugonjwa wa Ebola.

Ofisa huyo amekuja nchini na kufanya mazungumzo na Dk Ndungulile, ikiwa ni siku chache baada ya serikali kutoa tamko kuwa hakuna mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini.

Mwishoni mwa wiki iliyopita, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, alisema tetesi za kuwa ugonjwa huo upo nchini si za kweli na kwamba wagonjwa wawili ambao walihisiwa kuwa na ugonjwa huo vipimo vimeonesha kuwa hawana kitu.

Ummy alisema mpaka sasa hakuna mgonjwa aliyethsibitika kuwa na ugonjwa huo na kwamba serikali inaendelea kuchukua tadhari kudhibiti ugonjwa huo.

Kauli ya Waziri Ummy ilikuja baada ya kuenea tetesi kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, kuwa kuna mtu mmoja amefariki dunia kwa ugonjwa huo na wawili wamewekwa karantini.

Pia tetesi hizo zilichagizwa zaidi na waraka wa WHO na ule wa Umoja wa Mataifa (UN) ambao ulisema kuna tetesi za kuwa Tanzania kuna ugonjwa usiojulikana na kwamba wanachunguza tetesi hizo.

Alisema wagonjwa wawili ambao walihisiwa kuwa na ugonjwa huo mmoja kutoka Songea na mwingine Dar es Salaam, wamechukuliwa sampuli mara mbili kwa nyakati tofauti na vipimo vimeonesha hawana mambukizi ya ebola.

Tangu Agosti mwaka 2018, DRC ilivyobainika kuwa na mlipuko wa ugonjwa huo mpaka Agosti 12, mwaka huu, jumla ya wagonjwa 3,099 wamefariki dunia.

Kufuatia hali hiyo serikali imechukua tadhari kwa kununua vifaa vya mkononi vya kupima joto 2,700 na mavazi kinga na kusambaza katika mikoa ya Kagera, Mwanza, Kigoma, Rukwa Katavi na Dar es Salaam.

Pia, wametoa mafunzo kwa watumishi 460 na kwa upande wa ngazi ya jamii wametoa mafunzo hayo kwenye kada mbalimbali ambapo 264 ikiwemo waendesha bodaboda wamenufaika na mafunzo hayo.
Mkuu Leo tarehe 22/09 nimeona Al jazira wanasema WHO wanaituhumu Tanzania kwa kuficha taarifa zinazohusu Ebola. Sasa tutaliamini vp bandiko lako
 
Back
Top Bottom