Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,488
Wewe unayo?>>>>Hawa Wananchi wa Shinyanga hawana kazi za kufanya kuja ktk Mikutano???
Wewe unayo?>>>>Hawa Wananchi wa Shinyanga hawana kazi za kufanya kuja ktk Mikutano???
Mshaanza kumkubali eeh? BAWACHA banaNaangalia zangu marudio Simba na Yanga hapa siwezi badili chaneli leo ilikuwa zamu ya Shen kule zanzibar kuongea so bado tunatafakari hotuba ya Sheni iliyojaa Weredi na mafanikio na matumaini ya Zanzibar mpya hakuna vijembe wala ukali wa maneno
Kwa kuwa ni mzaliwa wa Jamhuri ya muungano ni vizuri akajua muungani ni niniHivi Mwananchi wa Shinyanga ana haja ya kuujua Muungano???
weng wanasubiria michambo, makavu live na misemo mipya mipya kama vile [HASHTAG]#mzee[/HASHTAG] bureHahahaha ukitaka kujua watanzania ni wanafiki sana fatilia huu uzi wanavyo subiri hotuba ya Magufuli lakini kila leo wanasema hawataki kumsikia..... hahaha Magufuli ni chaguo la Mungu.
asante,ila ningependa kumfahamu...Aliye na mavazi ya kijeshi ni mpambe lakini huyo wa kushoto ni mlinzi na angalia ukakamau wake.utaona Rais akipewa kitu humpa huyu mpambe au wanamwita ADC.
Tusipende kuchunguza sana haya mambo na wakati mwingine tuwe kama hatuyaoni.
Ndio mashamsham ya U rais.
Upo kama mimi tutusubiri madongo tuuu!!
mi sisikilizagi ntasoma jf na baadae ITV
Hahaha sawa sawaSiwez potez mb zng kuangalia hyo hotuba....acha ikae tu....tutapat simlz
tayari mkuuAsipotaja Ndege mniite
hahahaaaAsipotaja Ndege mniite
Injili ni habari njema sasa kama wanakwaya wanamsifu Rais kwa mema anayolitendea taifa hili kuna ubaya gani?Wewe mwenyewe unasema wanamsifia na siyo kwamba wanamtukuza.Jamani tusikuze mambo bila sababu.Elewa hawajaimba nyimbo za dini bali za kumsifu raisi, je hiyo ndiyo injili??
mbona umepoteza muda kucomment hapaSiwez potez mb zng kuangalia hyo hotuba....acha ikae tu....tutapat simlz
usije tu...coz ndo mada anayoongelea sasa! mada imechukua kama dk 10 hvAsipotaja Ndege mniite