kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Asanteni wakuu kwa michango hii,nadhani anahitaji kupata ushauri wa daktari wake juu ya kubadilishiwa dawa na si kuacha.
Binafsi nilitaka nijiunge na kampuni moja wanauza tiba mbadala na walikuwa wakituaminisha kuwa wateja wetu wanaweza kuondokana na matumizi ya dawa zunazowaletea madhara.
Binafsi nilitaka nijiunge na kampuni moja wanauza tiba mbadala na walikuwa wakituaminisha kuwa wateja wetu wanaweza kuondokana na matumizi ya dawa zunazowaletea madhara.