Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,310
Wekeni na picha ili kuweka msisitizo na pengine watasikia na kuona maana hayo mashimo ne kero ya Taifa, kila barabara hukosi shimo!
Jana nilipita ile barabara ya uhuru, pale buguruni sokoni/police lile sio shimo bali barabara imekatika, harafu hakuna juhudi zozote zinazofanyika kunusuru ile hali
Duh, lile linakera hadi basi kama lile la UN pale wanapopasema jamaa
Dah! Nilivoona shimo akili yangu ikaanza kufikiria mengine kabisa..
Dah! Nilivoona shimo akili yangu ikaanza kufikiria mengine kabisa..