Shimbo ni Uteuzi Makini

Shimbo ni Uteuzi Makini

Cardinalist

Member
Joined
Feb 14, 2013
Posts
43
Reaction score
8
Ukiachana na siasa uchwara na propaganda, Shimbo ni mchapa kazi.
Ametumia uwezo wake na upeo akimsaidia Gen Mwamunyange kulibadilisha Jeshi.
Kazi alizofanya naamini wanajeshi watazikumbuka.
Hivi sasa wanajeshi wana hali nzuri.

Naamini ataiwakilisha vyema nchi yetu nchini China
 
And that is the truth.
Watz tunapenda siasa za kufuata mkumbo.
Shimbo ni mtu makini na mchapa kazi.
 
Acheni kutumika vijana. Kila mtu makini anafahamu a-z juu ya Huyu jamaa. Yeye mwenyewe hana moral authority ya kusema mnayomsemea. Mnaleta hoja zisizokuwa na kichwa na mguu hapa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kufuatana na utendaji wake sikuwahi kusikia scandal yeyote ya kumhusu huyu jamaa
 
Acheni kutumika vijana. Kila mtu makini anafahamu a-z juu ya Huyu jamaa. Yeye mwenyewe hana moral authority ya kusema mnayomsemea. Mnaleta hoja zisizokuwa na kichwa na mguu hapa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ure assuming !
Assumption is the mother of all mess ups.
 
Tunakutakia kila kheri katika majukumu yako mapya !
 
Ukiachana na siasa uchwara na propaganda, Shimbo ni mchapa kazi.
Ametumia uwezo wake na upeo akimsaidia Gen Mwamunyange kulibadilisha Jeshi.
Kazi alizofanya naamini wanajeshi watazikumbuka.
Hivi sasa wanajeshi wana hali nzuri.

Naamini ataiwakilisha vyema nchi yetu nchini China

Hongera kwa kuingiza siku haya nenda kachukue chako
 
Ukiachana na siasa uchwara na propaganda, Shimbo ni mchapa kazi.
Ametumia uwezo wake na upeo akimsaidia Gen Mwamunyange kulibadilisha Jeshi.
Kazi alizofanya naamini wanajeshi watazikumbuka.
Hivi sasa wanajeshi wana hali nzuri.

Naamini ataiwakilisha vyema nchi yetu nchini China
Liberal's thoughts
 
I believe Shimbo is the best choice... given our foreign policy, economic strategies and the vision of our leader

HE IS SECOND TO NONE
 
nimesikia mtu mmoja akisema, kikwete kampeleka kule ili shimbo awe contained/controlled. akiwa hapa nchini ni rahisi kufanya yote mnayomshuku kuliko akiwa huko, japo atapata diplomatic immunity, atakuwa amebanwa....
 
Ukiachana na siasa uchwara na propaganda, Shimbo ni mchapa kazi.
Ametumia uwezo wake na upeo akimsaidia Gen Mwamunyange kulibadilisha Jeshi.
Kazi alizofanya naamini wanajeshi watazikumbuka.
Hivi sasa wanajeshi wana hali nzuri.

Naamini ataiwakilisha vyema nchi yetu nchini China

hana lolote ndo zake jk anataka akazifanyie kazi zile trilion alizoingiza ktk akaunti yake kwa msaada wa jk
 
kuna jamaa wapo jwtz walikuwa wanalalamika Shimbo aliwachakachua fedha zao walipokuwa wanalinda amani comoro.
 
hivi huyu JAMAA SIO NDIO ALIEFICHA HELA KWA MADIBA BY THE WAY UTAKAA KWA MWAKA NA NUSU 2015 JIANDAE KWENDA SEGEREA.
 
Shimbo ana tuhuma nzito za Ubadhirifu na hamna chombo chochote cha Dola kilichowahi kumsafisha, halafu wewe Rais unamtuma kuwa "Diplomatic Representative" kwenye Nchi "Tricky" kama China!! Hapo unataka kutuma ujumbe gani kwa Ulimwengu wa ki-Diplomasia? Na hapo ni baada ya Rais wa China kutia sahihi Mikataba 16 yenye kutia shaka!! Natamani Media Houses zilizo makini, Wadau wa Utawala Bora, na Vyama makini vya Upinzani wa-invest kidogo "kumchimbua na kumpembua" huyu bwana kujua "Moral Authority" yake ya kutuwakilisha kama Taifa!
 
Back
Top Bottom