Shilole

Na hawa wazungusha nyonga wa AT.....daaaah. Nahitaji kupepewa jamani

 
Last edited by a moderator:
mmh, ngoja waje wenye ungo wapepee.

Ngoja watikise walivyopewa na mama zao lol
 
Ukiwa hodari wa kuzungusha nyonga kiasi kile hutahitaji kwenda/kuangalia kile kipindi cha the biggest loser.
 
pepeaneni tu na upande wa kanga, nikisikia acid nakimbilia kikoti changu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…