Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,001
- 112,631
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmh, ngoja waje wenye ungo wapepee.
Ngoja watikise walivyopewa na mama zao lol
Shilole kama hana mfupa nyongo bana...daaaah.
Ukiwa hodari wa kuzungusha nyonga kiasi kile hutahitaji kwenda/kuangalia kile kipindi cha the biggest loser.
Na hawa wazungusha nyonga wa AT.....daaaah. Nahitaji kupepewa jamani
Njoo nikupepee. . .
Unataka kwa upande wa kanga au kitenge?
Tatizo lake moja 6*6 mchovu sana
Tatizo lake moja 6*6 mchovu sana
Ngoja kwanza nikanunue acid suit
Konnie kaniazima yake mpaka unipatie yangu.
Enhe. . .nianzie wapi?
Njoo nikupepee. . .
Unataka kwa upande wa kanga au kitenge?
Kwa upande wangu, mbona nimeona yuko fiti sana.Tatizo lake moja 6*6 mchovu sana
Anzia mgongoni...
Hivi mvua imeisha?
mwali wewe upo?haya bwana naona mie na wewe huwa tunakutanishwa na viungo tu lol...!