Mpaka sasa mi sioni umuhimu wa ndoa ni anasa tu hakuna la maana
Mpaka sasa mi sioni umuhimu wa ndoa ni anasa tu hakuna la maana
Yaan Shilole kubwa hivyoo et mpaka ndugu waamue abadili dini,ye aseme kaona Nuhu hana mapene na hampendii ndio maana anajisemesha hivyoooo
Huyo dogo mengi gani anayosema kamfanyia Shilole maana maana mi naona kafunikwa kila kitu na shilole.
hili ndi neno
ubadili dini kwa mariooo
am sory
Mengi ni kujichora tatoo hhhhaaaa
Huyo dogo mengi gani anayosema kamfanyia Shilole maana maana mi naona kafunikwa kila kitu na shilole.
Haahaha majigambo mengi niya kijinga maana hata inavyoonekana shilole ni maarufu zaidi na anaweza kutengeneza hela zaidi ya dogo.Aisee hawaendani ila mapenzi ndo hivo,kupigana dudu ukikolewa noma
Si kujichora tattoo au wewe hauoni?
Si anajua anaolewa na mwanaume ambay hana kitu, nani anataka shida mjini apa??