Hahahahahaha7800 ningekupa ila kupata chenji ni kazi.
Ngoja nikuje unielekezeNjoo nikupe direction sasa.
Ngoja nikuje unielekeze
Tutaona itakuwaje.Hahahahahaha
Change hutakosa me si ni business woman?
Hayo ni maamuzi yao wanaume wa daslama,sisi wa mikoani hatujakubaliana nayo
Hahaha ndio maamuzi yenu haya!
Basi nasi tunasema mtakuwa wanachama wa kudumu wa chaputa.






Haitoshi hiyoTuongeze kiwango kifike 20k gharama za maisha zipo juu kidogo siku hizi
Poleni na majukumu mabaharia,
Hiki ni kikao cha dharula kwa mabaharia wote, leo tumekutana tena naomba naomba tuijadili 7800 kwa kina
Napendekeza 7800 ndo iwe nauli rasmi haijalishi anatoka mwanza kuja dar au anaenda wap 7800 inatosha kabisa
Kutokana na uchumi kua mgumu 7800 ndo iwe kodi ya mezani akiipangilia fresh inatosha kabisaa muhimu ajue kujibalanca
Hela ya ada, ped sijui, saloon, na ujinga ujinga mwingine wote 7800 inafit kabisa watuachie ujinga wajifunze kubalance matumizi alaaah
7800 inakubali kabisa haijawahi kutuangusha mabaharia ama mnaonaje
Mnataka ngapi?Haitoshi hiyo
Hivi hii kesi haijesha bado?
Siku hizi wanafuatwa baada ya kuona utapeli mwingiDuuh hivi kuna wanawake hadi leo wanaomba nauli kwa mabaharia?
Sasa mjiandae akimalize mafunzoBibie naona alirudi mwanza moja kwa moja kuchukua mikoba ya babu
Elfu 7800 na Shs 7,800 ni vitu viwili tofauti.Poleni na majukumu mabaharia,
Hiki ni kikao cha dharula kwa mabaharia wote, leo tumekutana tena naomba naomba tuijadili 7800 kwa kina
Napendekeza 7800 ndo iwe nauli rasmi haijalishi anatoka mwanza kuja dar au anaenda wap 7800 inatosha kabisa
Kutokana na uchumi kua mgumu 7800 ndo iwe kodi ya mezani akiipangilia fresh inatosha kabisaa muhimu ajue kujibalanca
Hela ya ada, ped sijui, saloon, na ujinga ujinga mwingine wote 7800 inafit kabisa watuachie ujinga wajifunze kubalance matumizi alaaah
7800 inakubali kabisa haijawahi kutuangusha mabaharia ama mnaonaje
Kama unalipa naweza kukulipa mara 10 ya 2000Wanaume wa dar hamfai![]()
Niko kwa muda hapa kimanzichana mkuranga mkoa wa pwani kilomita 45 toka mbagala,njia ya kuelekea kusini,
wamekuja kwa wingi toka dar wamepanga vyumba bei ekelezi ni sh 2500 na chumba chake,ukitaka ukalale nae elfu kumi,dsm vyuma vimekaza,wamehamia huku..