Shikamooo whatsapp ...!!

Shikamooo whatsapp ...!!

Niko kwenye whatsApp ila sina group kwa mwenye kuniadd kwenye group msaada jamani? Thanx
 
wewe si ulipewa maujanja ya kuepuka hii kitu last seen!!
Ukikuta Sms usiisome kwanza nenda pale kwenye " wireless&network" ifungue nenda kwenye" mobile network" iweke Off kwa watumiaji wa techno lakini!!
 
Kuna watu wanakiherehere cha kuanzisha thread tu. baaas.

nimejaribu kuangalia tarehe mara,mbili mbili nikijua ni ile thread iliyopita... Naona hii ni mpya. Sasa nashangaa naona hata maneno yaliyotumika ni kama yanafanana. Dizain copy and paste.
 
nimejaribu kuangalia tarehe mara,mbili mbili nikijua ni ile thread iliyopita... Naona hii ni mpya. Sasa nashangaa naona hata maneno yaliyotumika ni kama yanafanana. Dizain copy and paste.

Ili mradi tu aongeze idadi ya thread. Utoto.com
 
mm ilinishinda hii kitu aisee maana ilikuwa kama dozi upo wapi home? unafanya nini? nimelala okey nitumie picha basi ??
upo wapi job unafanya nn kuna kazi nafanya oo nitumie picha basi??
mara nipo nakura nitumie picha bana heeeeeee jamani kwani nimekuwa kamera mani??

Nakura????? ?
 
nimejaribu kuangalia tarehe mara,mbili mbili nikijua ni ile thread iliyopita... Naona hii ni mpya. Sasa nashangaa naona hata maneno yaliyotumika ni kama yanafanana. Dizain copy and paste.

kinyoba lazima ushangae mtoa mada same person different ID nilichogundua flow ya maneno yake ni yaleyale. kweli ukistaajabu ya .........
 
Last edited by a moderator:
nimejaribu kuangalia tarehe mara,mbili mbili nikijua ni ile thread iliyopita... Naona hii ni mpya. Sasa nashangaa naona hata maneno yaliyotumika ni kama yanafanana. Dizain copy and paste.

kinyoba lazima ushangae mtoa mada same person different ID nilichogundua flow ya maneno yake ni yaleyale. kweli ukistaajabu ya .........
 
Last edited by a moderator:
Sio kila anayeonekana Online kwenye Whatsap yuko interested kuchat..

Hata kaa ni mpenzi wako...Yaani hamna kitu nalaani kwenye Whatsap kama hii kitu inaitwa 'Last Seen at'
Imekaa kimbea kweli,sometimesmtu umeboreka,haukokwenye mood ya mahaba,ila ukionekana uko online na hujamtumia SMS laaziz eti anawaka,''anhaaa unachat na mahawara zako eeh,uko online hata hunitext''
Kwani kuwa online lazima nikutext??Sina watu wengine wa kuchat nao hadi na wewe uwemo??

Mbona mapenzi yanakuwa magumu hivi jamani??
Nikikutana na owner wa Whatsap,sijui anaitwa Jimmy Balsamik ntamwambia atoe hii icon ya kimbea,inavunja sana ndoa..

Last seen my foot...Mtu unaaga sa4 umelala unaonekana last seen sa9 usiku,sikia hilo zogo lake,kumbe maskini ulishtuka kwenda kukojoa ukasoma msg ukalala,utajieleza kama katibu wa CUF na hutaeleweka...

Shkamoo Whatsap!

hii ndo original, atlist mleta thread ya jana angeongeza kitu kama yamemkuta au la!
 
last seen at:
frequent chat with:
topics based on:


waongezee hiko kipande
 
Tatizo ni lako mwenyewe ulimzoeza kuchati sas unamlaumu nani? Mkiambia acheni mapenzi ya kwenye Tv mnatuona sisi autidetedi, mwanamke unatakiwa umwonyeshe misimamo akuelewe, tatizo wakati mnapowatongoza mnajionesha mnaswa kila dakika bby, swt, hny, supergate nk unadhani yeye si anjiona bado mtoto kwanini asideke,

Sio kila anayeonekana Online kwenye Whatsap yuko interested kuchat..

Hata kaa ni mpenzi wako...Yaani hamna kitu nalaani kwenye Whatsap kama hii kitu inaitwa 'Last Seen at'
Imekaa kimbea kweli,sometimesmtu umeboreka,haukokwenye mood ya mahaba,ila ukionekana uko online na hujamtumia SMS laaziz eti anawaka,''anhaaa unachat na mahawara zako eeh,uko online hata hunitext''
Kwani kuwa online lazima nikutext??Sina watu wengine wa kuchat nao hadi na wewe uwemo??

Mbona mapenzi yanakuwa magumu hivi jamani??
Nikikutana na owner wa Whatsap,sijui anaitwa Jimmy Balsamik ntamwambia atoe hii icon ya kimbea,inavunja sana ndoa..

Last seen my foot...Mtu unaaga sa4 umelala unaonekana last seen sa9 usiku,sikia hilo zogo lake,kumbe maskini ulishtuka kwenda kukojoa ukasoma msg ukalala,utajieleza kama katibu wa CUF na hutaeleweka...

Shkamoo Whatsap!
 
Kwa kweli haka ka last seen kananiboaaa,ukute sasa mpenzi wako yuko online muda mrefu halaf hata hakutumii sms ni balaaa yaan ni ugomvi tu bora wangekatoaaaa
 
Kuna app inaitwa lastseen changer ipo kwny android...hii itaonesha uko offline kumbe uko online
 
Hide WhatsApp Status

Last Seen Changer

kwa wale wa android

kama si wa android kazi ni kwako
 
marahaba user, sasa ntakupa upendeleo wewe, ila mwambie huyo mupenzi wako aje anione nimuelekeze vizuri matumizi ya whtsup.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom