Masuonline
Senior Member
- Jun 4, 2013
- 192
- 17
Niko kwenye whatsApp ila sina group kwa mwenye kuniadd kwenye group msaada jamani? Thanx
Bora wa kwangu hana habari na mitandao......
eh makubwa....unamjua kwani?usijidanganye
Kuna watu wanakiherehere cha kuanzisha thread tu. baaas.
nimejaribu kuangalia tarehe mara,mbili mbili nikijua ni ile thread iliyopita... Naona hii ni mpya. Sasa nashangaa naona hata maneno yaliyotumika ni kama yanafanana. Dizain copy and paste.
usijidanganye
nitumie namba pm,watoto wa ukweli hawakataiNiko kwenye whatsApp ila sina group kwa mwenye kuniadd kwenye group msaada jamani? Thanx
mm ilinishinda hii kitu aisee maana ilikuwa kama dozi upo wapi home? unafanya nini? nimelala okey nitumie picha basi ??
upo wapi job unafanya nn kuna kazi nafanya oo nitumie picha basi??
mara nipo nakura nitumie picha bana heeeeeee jamani kwani nimekuwa kamera mani??
eh makubwa....unamjua kwani?
nimejaribu kuangalia tarehe mara,mbili mbili nikijua ni ile thread iliyopita... Naona hii ni mpya. Sasa nashangaa naona hata maneno yaliyotumika ni kama yanafanana. Dizain copy and paste.
nimejaribu kuangalia tarehe mara,mbili mbili nikijua ni ile thread iliyopita... Naona hii ni mpya. Sasa nashangaa naona hata maneno yaliyotumika ni kama yanafanana. Dizain copy and paste.
Sio kila anayeonekana Online kwenye Whatsap yuko interested kuchat..
Hata kaa ni mpenzi wako...Yaani hamna kitu nalaani kwenye Whatsap kama hii kitu inaitwa 'Last Seen at'
Imekaa kimbea kweli,sometimesmtu umeboreka,haukokwenye mood ya mahaba,ila ukionekana uko online na hujamtumia SMS laaziz eti anawaka,''anhaaa unachat na mahawara zako eeh,uko online hata hunitext''
Kwani kuwa online lazima nikutext??Sina watu wengine wa kuchat nao hadi na wewe uwemo??
Mbona mapenzi yanakuwa magumu hivi jamani??
Nikikutana na owner wa Whatsap,sijui anaitwa Jimmy Balsamik ntamwambia atoe hii icon ya kimbea,inavunja sana ndoa..
Last seen my foot...Mtu unaaga sa4 umelala unaonekana last seen sa9 usiku,sikia hilo zogo lake,kumbe maskini ulishtuka kwenda kukojoa ukasoma msg ukalala,utajieleza kama katibu wa CUF na hutaeleweka...
Shkamoo Whatsap!
Sio kila anayeonekana Online kwenye Whatsap yuko interested kuchat..
Hata kaa ni mpenzi wako...Yaani hamna kitu nalaani kwenye Whatsap kama hii kitu inaitwa 'Last Seen at'
Imekaa kimbea kweli,sometimesmtu umeboreka,haukokwenye mood ya mahaba,ila ukionekana uko online na hujamtumia SMS laaziz eti anawaka,''anhaaa unachat na mahawara zako eeh,uko online hata hunitext''
Kwani kuwa online lazima nikutext??Sina watu wengine wa kuchat nao hadi na wewe uwemo??
Mbona mapenzi yanakuwa magumu hivi jamani??
Nikikutana na owner wa Whatsap,sijui anaitwa Jimmy Balsamik ntamwambia atoe hii icon ya kimbea,inavunja sana ndoa..
Last seen my foot...Mtu unaaga sa4 umelala unaonekana last seen sa9 usiku,sikia hilo zogo lake,kumbe maskini ulishtuka kwenda kukojoa ukasoma msg ukalala,utajieleza kama katibu wa CUF na hutaeleweka...
Shkamoo Whatsap!