Shikamooo whatsapp ...!!

Shikamooo whatsapp ...!!

Nyaningabu Vipi blaza ...?
 
Last edited by a moderator:
Yaan whatsapp fulu majanga........me kuna kijama kiliniletea swaga za kunitongoza sasa nilipomkatalia fulu kuweka picha za mademu looooh kaz ipo kweli na hiyo mambo

usisahau na zile status
1."ipigani na maneno napigana na
2.hatuachani miaka 1000000
3.anayenichukia shauri yako
4.Nyani haoni kundule
5.huna haya wewe kibibi kushindana na mie
e.t.c
watu wanarushiana maneno kupitia status
 
Ninachojua mimi whatsapp ni mbadala wa khanga, ile mipasho ya kwenye khanga ndo imehamia kwenye status za whatsapp
 
Yaan whatsapp fulu majanga........me kuna kijama kiliniletea swaga za kunitongoza sasa nilipomkatalia fulu kuweka picha za mademu looooh kaz ipo kweli na hiyo mambo

Ulimkatalia huku unampendaeee?
Ama? Sasa majanga ya nn yeye kuweka pics za wasichana wake?
 
usisahau na zile status
1."ipigani na maneno napigana na
2.hatuachani miaka 1000000
3.anayenichukia shauri yako
4.Nyani haoni kundule
5.huna haya wewe kibibi kushindana na mie
e.t.c
watu wanarushiana maneno kupitia status

ha ha ha..
 
Kuna status za whatsapp hua nacheka tuu
mtu hata akienda kukata gogo tuu
tayari... Status..... ....
 
Ulimkatalia huku unampendaeee?
Ama? Sasa majanga ya nn yeye kuweka pics za wasichana wake?

Sina hata time nae zaid yakumuona mshamba.....kipnd chote huwek pic,umetolewa baluu ss ndo fulu kuweka picha.Ndan ya dk 2 picha 5 zimewekwa km sio ushamba nn???
 
Mmh au roho inakuuma best? kama umeamua kumpotezea ungemuach na ushamb wake pengine na namba ungefuta
 
Yani full mipashooooo Whatsapp jaman....!!
 
Mmh au roho inakuuma best? kama umeamua kumpotezea ungemuach na ushamb wake pengine na namba ungefuta

Kwani nilishika mkono asiweke basi ila ni mbwembwe zakizamani..........sawa na mwanamke umtongoze akikataa uanze matusi sasa wapi na wapi?
 
Karibuni viber raha tupu
Hakuna mambo ya status wala nn zaidi ya pics
 
Sina hata time nae zaid yakumuona mshamba.....kipnd chote huwek pic,umetolewa baluu ss ndo fulu kuweka picha.Ndan ya dk 2 picha 5 zimewekwa km sio ushamba nn???

ntakutafuta wa kwetu maana nasikia wewe ni wa ukweli ndio maana jamaa aliamua kutumia msemo wa sizitaki mbichi hizi!
 
Hiyo 'last seen' haina tofauti sana na kumwambia mtu ulipitiwa na usingizi ndio maana hukumpigia/pokea simu yake usiku wakati alishapiga na kukuta iko 'busy'. Au kumwambia hukuwa na credit ya kumpigia wakati simu yako imejaa outgoing calls/txt msgs.

Kama hayo uliyosema yakitokea upande wa pili hutoona tatizo lolote basi mwambie tena msisitizie kwamba sio yeye tu mwenye haki ya kuchat na wewe. Wala sio kila wakati unataka/jisikia kuchat nae.

Who knows, unaweza ukashangaa anachukulia poa kuliko unavyolalamika hapa bila yeye kujua unafikiria nini kichwani mwako. Alafu na yeye akianza kukupotezea huko watssap usianze kuwa na maswali.

nmefurahi kukuona rafiki yako. mia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom