Shikamooni Wanawake,Nimewainulia mikono!!

Shikamooni Wanawake,Nimewainulia mikono!!

hapo kweli alitumia akili, maana kwa kutuma meseji fasta fasta bila kuakiki angekukamata.
Nikupongeze
kwa kujua namba za mkeo kichwan.
kujua namba za Magreth

Mara paa " Hellow Mage, nmemis sana penzi lako motomoto, Alafu uyu Mbwaa naye sijamtia mwezi, naomba kesho tukutane pale maana nina nyegee kama zote "

Kuna haya
Akuambie lkn bado nayeye aliwe tu
Asikuambie lkn bado ataliwa tu nje
Akusamehe lkn bado ataliwa tu njee
Yeye ndo aje mlipokubaliana, mgombane ,akusamehe LAKINI BADO ATALIWA TU NJE .


Kwa ufupi, mnapowasiliti wake zenu, kwa akili zao za kwann,, ili aridhike ajihisi ajapoteza LAZIMA NAYE ATOE MZIGO NJE.


ndio maana, nirahisi kumla demu aloachwa/gombana na jamaa ake muda mfupi ulopita..Mwanamke alogundua mumewe anachepuka /anamnyanyasa.

"Dume la Nyani haliogopi Umande"
Chukua soda nitajalipa
 
Back
Top Bottom