Shikamooni Wanawake,Nimewainulia mikono!!

Shikamooni Wanawake,Nimewainulia mikono!!

Semaaa yeaaaaaaaayh

Sema kitu msichojua wanawake, kama mwanaume ni kicheche utapata tabu sana kumkamata. Haoni tabu kununua simu nyingine ambayo hata wewe huijui na haionyeshi kwako. ndo ataitumia kuwasiliana na michepuko yake mara nyingi akiwa kazini, watafanya yao, akirudi ameificha.
 
Nimeanza kwa kuwasalimia kwa sababu nadhani wote mna uwezo huu. Ilikuwa miezi kadhaa nyuma mke wangu alihisi kwamba nina uhusiano na binti mmoja hivi, lakini mbele yenu nasema ukweli sikuwa na uhusiano na yule binti hata kidogo ila kulikuwa na mawasiliano ya kikazi ambayo wakati mwingine ilikuwa tunaongea muda mrefu na mara nyingi hasa ninapokuwa nje au mbali na ofisi.
Mke wangu aliniluliza na kawaka sana lakini nilijaribu kumuelewesha. Sasa kilichonifanya niawasalimie ni kuwa hivi majuzi nimechukua simu nimpigie yule nimpe maelekzo ila nikaona meseji itakuwa sawa. Nikatafuta jina la Magreth kwenye simu nikawa natuma meseji nikamwomba anifanyie kazi fulani meseji imeenda ndio macho yakanituma mbona hiyo namba iliyoandikwa Magreth ni ya mkeo ya laini ya airtel,inamaana mke wangu alifuta namba ya Magreth akaedit jina lake likawa na Magreth ila namba yake na hapo alikuwa anasubiri kuona kama nawasiliana nini na Magreth.
Sikutuma ile meseji na nimekaa kimya mwezi wa pili sasa na nimeacha kama alivyo save jina la Magreh kwenye namba yake!!!

Shikamooni wanawake mbinu zenu ziko juu ndio maana mnaweza kujua password za simu zetu bila hata kuambiwa
Ya Kwangu natumia COBOL. Au nitatumia cipher Cesar codes sitakagi mazoea mimi. Tumia misimbo ya Ki IT achani kutengeneza password kwa mazoea. Unatengeneza password inalingana na mwaka uliozaliwa, itakuwaje password sasa hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapo kweli alitumia akili, maana kwa kutuma meseji fasta fasta bila kuakiki angekukamata.
Nikupongeze
kwa kujua namba za mkeo kichwan.
kujua namba za Magreth

Mara paa " Hellow Mage, nmemis sana penzi lako motomoto, Alafu uyu Mbwaa naye sijamtia mwezi, naomba kesho tukutane pale maana nina nyegee kama zote "

Kuna haya
Akuambie lkn bado nayeye aliwe tu
Asikuambie lkn bado ataliwa tu nje
Akusamehe lkn bado ataliwa tu njee
Yeye ndo aje mlipokubaliana, mgombane ,akusamehe LAKINI BADO ATALIWA TU NJE .


Kwa ufupi, mnapowasiliti wake zenu, kwa akili zao za kwann,, ili aridhike ajihisi ajapoteza LAZIMA NAYE ATOE MZIGO NJE.


ndio maana, nirahisi kumla demu aloachwa/gombana na jamaa ake muda mfupi ulopita..Mwanamke alogundua mumewe anachepuka /anamnyanyasa.

"Dume la Nyani haliogopi Umande"
Nzuri kamanda, tunaambiwa tuishi na wake zetu kwa akili sana,, ulitumia akili brother

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom