Shikamoo wanaume

Shikamoo wanaume

*Hakuna kazi ngumu Kama kumtoa mwanamke kwenye kochi kumpeleka kitandani wanaume mnaijua hili, ukijaribu utasikia tu "niache Mimi..sikuja kwa ajiri ya mambo hayo"sa ulikuja kuchaji simu Au??* ‍♂‍♂
 
Wengne wana dharau wanakuja na love bite kbs shingoni maumivu yake kwa mwanmke apo yanachoma Kam pasi.. shikamooni wanaume
 
Michepuko huwa yenyewe inafanyia kazi mapungufu ya njia kuu basi. So usije ukashangaa mchepuko ni mbaya kuliko njia kuu. Wanawake mnatakiwa kuwa wanyeyekevu kwenye ndoa. Hakuna mwaname mkorofi mbele ya mwanamke mnyenyekevu.
 
*Hakuna kazi ngumu Kama kumtoa mwanamke kwenye kochi kumpeleka kitandani wanaume mnaijua hili, ukijaribu utasikia tu "niache Mimi..sikuja kwa ajiri ya mambo hayo"sa ulikuja kuchaji simu Au??* ‍♂‍♂
Hahahahaha umenichekesha sana.
 
Ametoka kazini amepitia kwa mchepuko huko anapikiwa chapati za nazi na mchicha uliochanganywa na carrots, shurti kutengenezewa wrap. Haiishii hapo nawekewa maji ya kuoga na upande wa khanga na anakaribishwa kwenye 5x6.

Sasa best yote hayo unayajulia wapi? Au na wewe ni muchepuko ya mutu?
 
Nakwambia ukweli mungu hakumuumba mwanaume hivyo
A man is polygamist in nature
Tokeni hapa. Mnaendekeza tu. Sema niliamini wanaume wote mnacheat baada ya kugundua ex bf wangu alikua na mwanamke mwingine. Nilikua namuona mpole hawez enda nje ila mweee. Nyie kaka zetu nyie
 
Ametoka kazini amepitia kwa mchepuko huko anapikiwa chapati za nazi na mchicha uliochanganywa na carrots, shurti kutengenezewa wrap. Haiishii hapo nawekewa maji ya kuoga na upande wa khanga na anakaribishwa kwenye 5x6.

Wenyewe wanausemi kuwa hata urudi saa kumi alfajiri ulilala nyumbani.

Sasa saa kumi ile kale ka usingizi katamu ndiyo kanakuingia kabla hujaamka kujiandaa kwenda kibaruani.

Ndiyo anapoomba haki yake ya ndoa ili usihisi kuwa alikula huko anakotoka.
Na wewe mpikie chapati za nazi...na mchicha uliochanganywa n.a. karoti
 
Tokeni hapa. Mnaendekeza tu. Sema niliamini wanaume wote mnacheat baada ya kugundua ex bf wangu alikua na mwanamke mwingine. Nilikua namuona mpole hawez enda nje ila mweee. Nyie kaka zetu nyie
Ukitaka ufaidi mapenzi tupe ruksa umjue mwenzio
Yananogaje
 
Wanandoa mna changamoto sana jamani khaa...Ila inabid umuachie Mungu tu
 
Back
Top Bottom