Shikamoo wanaume

Shikamoo wanaume

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,350
Ametoka kazini amepitia kwa mchepuko huko anapikiwa chapati za nazi na mchicha uliochanganywa na carrots, shurti kutengenezewa wrap. Haiishii hapo nawekewa maji ya kuoga na upande wa khanga na anakaribishwa kwenye 5x6.

Wenyewe wanausemi kuwa hata urudi saa kumi alfajiri ulilala nyumbani.

Sasa saa kumi ile kale ka usingizi katamu ndiyo kanakuingia kabla hujaamka kujiandaa kwenda kibaruani.

Ndiyo anapoomba haki yake ya ndoa ili usihisi kuwa alikula huko anakotoka.
 
Unampa bila hiyana tena kabla hajaomba yeye unamuwahi mapema tu kabla hajalala ili ukilala asikusumbue maana utakua umepiga 2 in 1
 
Tuwekee na shikamoo wanawake.

Ametoka kazini amepitia kwa mchepuko huko anapikiwa chapati za nazi na mchicha uliochanganywa na carrots, shutting kutengenezewa wrap. Haiishii hapo nawekewa maji ya kuoga na upande wa khanga na anakatibishwa kwenye 5x6.

Wenyewe wana usemi kuwa hata urudi saa kumi alfajiri ulilala nyumbani. Sasa saa kumi ile kale ka usingizi katamu ndiyo kanakuingia kabla hujaamka kujiandaa. Ndiyo anapoomba haki yake ya ndoa ili usihisi kuwa alikula huko anakotoka.
 
Ni kweli kbs, sema jamaa nae kaenda masomoni kakaa kule mwaka mzima karejea nyumbani kakuta mkewe (ndoani mwaka wa nane huu) ana mimba kuuuuuubwa ina miezi saba sasa- alichokifanya kaenda na mkewe kupima afya zao kakuta wako poa tu basi anakuzia kuzia kilichopandwa wakati yy hayupo. Utapasuka kichwa mambo haya
 
Wale wachache wenyenguvu inabidi Wasajiliwe ili wawe na Vituo vya kutolea huduma maana Wahitaji wa huduma wamekuwa wengi kuliko idadi ya Marijali!!!
 
Mwanaume akitoka kwa mchepuko akija nyumb anajishu na hio siku ataweza akufanyie makubwa kupindukia na full maupendo, ila nyie mnaanza kununa mlangoni hio siku hata nzi akikatiza chooni n ugomvi na usiombe kitu kdg tu kitokee ataongea kama anatangaza bidhaa za alovela
 
Ametoka kazini amepitia kwa mchepuko huko anapikiwa chapati za nazi na mchicha uliochanganywa na carrots, shurti kutengenezewa wrap. Haiishii hapo nawekewa maji ya kuoga na upande wa khanga na anakaribishwa kwenye 5x6.

Wenyewe wanausemi kuwa hata urudi saa kumi alfajiri ulilala nyumbani.

Sasa saa kumi ile kale ka usingizi katamu ndiyo kanakuingia kabla hujaamka kujiandaa kwenda kibaruani.

Ndiyo anapoomba haki yake ya ndoa ili usihisi kuwa alikula huko anakotoka.
Marahaba wanawake..! Huo ndiyo uanaume..!
 
Mwanaume akitoka kwa mchepuko akija nyumb anajishu na hio siku ataweza akufanyie makubwa kupindukia na full maupendo, ila nyie mnaanza kununa mlangoni hio siku hata nzi akikatiza chooni n ugomvi na usiombe kitu kdg tu kitokee ataongea kama anatangaza bidhaa za alovela

hahahah nimecheka na hyo sentens ya mwishon hahahahah
 
Back
Top Bottom