Shikamoo mwanamke!!

Lol tunamajukumu!!! Lkn wanaume hawayaoni bado ucku ni shida unatakiwa upandwe lol ni htr!!!
 
majukumu ya mwanamke wa ndoa wa kizaz hiki " kupandwa,kubeba mimba, kuzaa, kukupa umbeya mume wake , makelele na kulaumu kila cku kwenye ndoa"
 
Hyo ni zamani sio sasa. Sasa hivi wamebaki wachache sana. Kuna yule juzi tu kasema she's too lazy to be housewife
 
majukumu ya mwanamke wa ndoa wa kizaz hiki " kupandwa,kubeba mimba, kuzaa, kukupa umbeya mume wake , makelele na kulaumu kila cku kwenye ndoa"

Hahahah dah ukweli mtu hasa hapo kwenye kulaumu na makelele ni hatar sanaa
 
Uyo n mwanamke wa kijijini ambae kaishia class 7 au kidato cha kwanza kwa kukosa ada.....hiyo haiendan na mwanamke wa mjini kabisa
 
Yeah, kuna wamama wanajitoa sana kwa familia zao, nawapa hongera,

ila mbona mna generalize kwa wanawake wote? wanawake wote hawapo hivi, wengine wanapanga foleni mabwana kazi hawataki, wamekaaa kuomba hela tu ,

kuna wanawake nawaheshimu sana wengine nawaona ovyo sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…