Shikamoo baby!!!

Shikamoo baby!!!

Mimi hii ilinishinda mnalala wote mnajambiana halafu asubuhi et shikamoo nyoo siwezi! Ukitoa Salam tu ya mungu sijawahi msalimia ba mtu 🤣
Kwanza ikitokea siku mmegombana utampa shikamoo 😹😹😹

Limtu linasokomeza mbichwa wake kwa bibi kulamba kibumbu halafu nilipe shikamoo..!!😹
 
Wanawake wengine kama mataahira eti shikamoo mume wangu🤣🤣🤣🤣🤣
😹😹😹 Siamkii toto la mtu mimi..!!
Kuna wale wengine wanavuka mipaka eti mume wake anamuita baba 🤣

Cheo cha baba yangu nimpe mwanaume tunayekalishana chuma mboga? Sifanyi ufala huo.
Majina km yameisha nakuita jina lako uliopewa na wazazi wako tusichoshane..!!
 
Mm 28 mkee ni 23 Miaka 6 ya kuwa pamoja ananisalia kama kawaida.
Now mama na mwana wote napata salamu.
Ila binti yoyote hata kama yupo under 18 siwezi kubali salamu yake
 
Back
Top Bottom