Shija: Siwezi kupona lazima nitakufa!

Shija: Siwezi kupona lazima nitakufa!

Ni rahisi sana kwa Wapinzani kuwavumilia wanachama wa CCM lakini si rahisi wanachama na Viongozi wa CCM kuwavumilia Wapinzani.

Umefika wakati Viongozi wa CCM waanze wao kuwaonyesha wanachama wao kwamba Upinzani si.uadui.Tunaona Rais akisadiana.na wakuu wa wilaya,wakuu wa mikoa na polisi kutesa na kunyanyasa Wapinzani ifike mahali tuseme imetosha Taifa letu sote.Na.sote tuna haki ya kuishi na kuwa Viongozi ndani ya Taifa letu.

Viongozi waastaafu ni wakati wa kuamka mliko lala Tanzania yetu sote Mpinzani si RAIA wa kigeni ni Mtanzania mwenye haki zote za kiraia.Elimisheni wanachama wenu itoshe kusema sasa ubaguzi,chuki na visasi basi.

Tukae meza moja tushirikiane kujenga Tanzania
Maneno kuntu!Malidhiano hakika ndilo jambo pekee litalo leta suluhu ya kisiasa.Shime wafanya SIASA pendaneni.
 
Siwezi kushirikiana n.a. wapinzani kwenye serikali yangu...hiiiii BAGOSHA
 
Wapinzani wa kweli bado hawajazaliwa tz,siyo hawa wachumia tumbo,bora CCM itawale miaka bilioni ijayo,wapinzani akina mbowe,lowassa,sumaye,mbatia au zitto? Bora tuongozwe na ngiri na siyo hawa watu
 
Siku wakijisahau kuiba tukashinda aloo kwa kweli ni lazima na sisi tuwachinje wao na familia zao, tena hili halina mjadala!
 
Kila mtu analia lia tu na kulaumu ccm.Viongozi wa upinzani wanachukua makapi,wanakiuka katiba za vyama vyao lakini kimya
 
Inasikitisha sana kama vile kuna wenye nchi na wengine wote TENA MLIO WENGI ni vidubwasha tu,NA TENA vyaweza kupotezwa dakika sifuri.,"si kitu cha thamani kwayo.
images-1542.jpeg

images-480.jpeg

images-540.jpeg
 
Wapinzani wa kweli bado hawajazaliwa tz,siyo hawa wachumia tumbo,bora CCM itawale miaka bilioni ijayo,wapinzani akina mbowe,lowassa,sumaye,mbatia au zitto? Bora tuongozwe na ngiri na siyo hawa watu
Unaongea na kufikiri kwa makalio inavyoonekana.
 
Shija,SIWEZI KUPONA!

Ni kauli ya mwisho ya RAFIKI yangu kipenzi,JOHN aliyoitoa akiwa amelalia mapaja yangu jioni ya J'pili moja huko Zanzibar.ALIKATA ROHO!

Nililia na kuhudhunika sana!Mapaja yangu yalikuwa yamejaa damu ya John!NILIMPOTEZA JOHN

Kwako John, TAMBUA nakukumbuka sana rafiki yangu.REDIO yako 'AIWA' Bado ninayo!NAAHIDI nitakuja nayo siku tukikutana huko ulipo mola akipenda.AMIN!
Mkuu Tinde Nsalala, kwanza pole kumpoteza rafikiyo kipenzi John, pili ni very touching story. RIP John.

Hapa duniani hakuna kimya, there is nothing new under the sun, uhai umeumbwa na kifo pia kimeundwa, mtoa uhai ndio Huuchukua .

Ile siku John anaumbwa kila kitu kuhusu maisha yake kilikuwa kimeisha andikwa hadi atakufaje na lini, saa, dakika, sekunde hadi nukta.

Malaika mtoa roho, Israel, anaipitia kila nafsi kwa saba mara 70 kila siku ili saa yako ikifika, asipitishe hata nukta moja.

Hivyo saa ya John ikifika, saa yako inakuja, usisahau kuuacha ujumbe wa maandishi kuhusu hiyo "AIWA" ili iwekwe pembeni yako uende nayo kumpelekea kama ulivyo muahidi.

Hapa duniani ni mapito tuu, makao yetu ni kule aliko John.

Muda mfupi Kabla ya Kukata roho: NINI HUTOKEA?

Life after Death: What Happens after Death?

Paskali
 
Huwezi amini lakini nakuhakikishia hata CUF wakiongoza watakuwa hivyo hivyo mfano chukua toka ANC ya Zuma anavyowatandika waandamanaji
So what!!!wamaanisha bora tuendelee nao hawahawa!!!umerogwa na nani weye mtu.kakojoe ukalale nyambafuuuu
 
Back
Top Bottom