Shigongo: Hivi ndivyo nilivyomalizana na CCM

Shigongo: Hivi ndivyo nilivyomalizana na CCM

Nikajua umelipwa, kumbe wewe ni kama mtoto mdogo unaepewa ahadi na babae ya kununuliwa gari kumbe ni uongo! Wewe kumuona kinana tu mbio hadi huku kutangaza! We endelea kusubiri haja yako hadi uchaguzi upite 2025.
 
Wamampa mswaki asishangae Siku wanamng' oa jino,atajiona mshindi ila badae atawajua figisu zao
 
It sound good. huyu mtu ana hekima yes ukweli humuweka mtu huru na amani kabisa hayo maswahibu angekua anayaweka moyoni angekufa siku sio nyingi.
 
Du,pole sana mkuu ila chama chetu kimefulia Kwa sasa maana wajanja wapp wengi huko,wafanyakazi hawalipwi Kwa wakati ila jipe moyo

Soma Hii......

.................Baadaye mama Meghji na Khatibu waliondoka ofisini kwenda kwenye chumba cha
kusubiria wakituacha sisi watatu; Mzee Kinana, Luhwavi na mimi tukiongea juu ya namna ya kulimaliza tatizo, wakakiri chama hakikuwa na fedha wakati huo lakini wangejitahidi kadiri ya uwezo wao kupunguza deni kidogokidogo mpaka limalizike, tukakubaliana kuwa na mawasiliano ya karibu badala ya kukaa kimya.......................''Copy and Paste'' from the thread of mpashaji habari
 
Kuku kashachinjwa.... Hapo kulipwa utasubiri sana Erick
..........................Baadaye mama Meghji na Khatibu waliondoka ofisini kwenda kwenye chumba cha
kusubiria wakituacha sisi watatu; Mzee Kinana, Luhwavi na mimi tukiongea juu ya namna ya kulimaliza tatizo, wakakiri chama hakikuwa na fedha wakati huo lakini wangejitahidi kadiri ya uwezo wao kupunguza deni kidogokidogo mpaka limalizike, tukakubaliana kuwa na mawasiliano ya karibu badala ya kukaa kimya.................

NAkubaliana na wewe
 
Pole ndugu yangu. Tatizo limeanzia na kukimbilia ubilionea. Ungeridhika na ulicho nacho. Ulikua unalala usingizi sasa unashinda na kulala na presha. Umekimbilia mfupa usiouweza. Mifupa ya aina hiyo ungewaachia wakina Rostam, Mengi, Dewji, Manji etc.
 
Kitu ambacho nilijifunza siku nyingi, ni kuwa positive kwanza kwa mambo mengi, until u see it negative, hii namaanisha, unapomsikia mtu anazungumza, mpe nafasi, na uwe na mawazo chanya juu ya kile anachoenda kuzungumza, humu JF mpaka wakati mwingine huwa najiuliza kwanini tumekuwa na tabia ya kukosoa tu hata kama mambo mengine yanaitaji mjadala, baadaye nikagundua tatizo ni kuwa wengi wetu hatupendi kutafakari jambo, tunalichukua kama lilivyo na kuanza kuropoka.

Jaman, tuache kutoa hukumu
 
Erick ameniacha hoi hapo anaposema eti kwa unyonge wetu tupaze sauti kuhusu uchumi, afya, elimu nk tunapoumia. Kila siku watu tunapiga kelele matatizo ya uchumi, afya nk lakini wanaccm wanaleta itikadi kwamba mambo ni mazuri. Yeye kwa kuwa hiyo ccm imekwamisha maslahi yake ndio anakiri kwamba tunaumia. Hebu atuonyeshe makala yoyote aliyopiga kelele kuhusu uchumi na afya kuyumba zaidi ya kilio cha maslahi yake.
 
wewe huwa unaandika mstari mmoja?


Inategemea na maudhui.

Sasa wewe umelisoma ji hekaya hilo, mpaka mwenyewe anajistukia na kutupa kisa cha jinsi alivyoambiwa na baba'ke. Umemsoma kweli lakini?
 
Eric Shigongo kaiga tu kutoka kwa ACT Wazelendo wanavyoendesha propaganda zake kupitia Afande Sele!. Mambo yoooote yanayohusu Chama huwa yanatatuliwa kwenye Vikao halali vya Chama na nadhani pia huna deni kubwa unalowadai CCM!, Acha upotoshaji!
 
Hoja kuu hapa ni PESA benki wanataka hela yao. Siyo story hizi tunapiga hapa.

Umepata pesa ?? Kalipe benki. Laa hujapata wasubiri benki waje kuchukuwa. Suala la kuitwa ofisini halihusiani
 
“Eric, mimi sikuwepo hapa nchini, nilikuwa nimempeleka nduguyo kutibiwa huko India, ndiyo maana ulikuwa hunipati kwenye simu, si kwamba nilifanya dharau!”
Shigongo aache kudanganya watu au kukubali kudanganywa, hata kama ktu unauguliwa unashindwaje kujibu kama umeweza kusoma? Maana Shigongo alisema kuwa hii ishu hakiua ya jana wala ya juzi, does it mean tangu uchaguzi kuisha Kinana alikua India akiuguza ndugu???? Uongo mwingine bhana, Ok lets say Kinana hakuepo, je ofisi ya Lumumba ni Kinana peke yake aliyekua anafahamu hilo jibu? Je wale wajumbe waliotoka nje walirudi mle ndani? kwanini waliingia na kutoka? Shigongo alzima alipewa maji anywe
 
Kampuni yako ya kuchapisha tshirt na kofia inaitwaje? Kodi ya hzo tshirt na kofia ambazo ata mkulu alivaa ilikuwa kiasi gani?
 
Shigongo aache kudanganya watu au kukubali kudanganywa, hata kama ktu unauguliwa unashindwaje kujibu kama umeweza kusoma? Maana Shigongo alisema kuwa hii ishu hakiua ya jana wala ya juzi, does it mean tangu uchaguzi kuisha Kinana alikua India akiuguza ndugu???? Uongo mwingine bhana, Ok lets say Kinana hakuepo, je ofisi ya Lumumba ni Kinana peke yake aliyekua anafahamu hilo jibu? Je wale wajumbe waliotoka nje walirudi mle ndani? kwanini waliingia na kutoka? Shigongo alzima alipewa maji anywe
Tatizo umejielekeza kumu oppose Shigongo, embu fikiria vinginevyo uone utapata majibu gani
 
Eric Shigongo kaiga tu kutoka kwa ACT Wazelendo wanavyoendesha propaganda zake kupitia Afande Sele!. Mambo yoooote yanayohusu Chama huwa yanatatuliwa kwenye Vikao halali vya Chama na nadhani pia huna deni kubwa unalowadai CCM!, Acha upotoshaji!
Hili ni suala la kibiashara, wala si la kichama, mahusiano yaliyopo hapo ni ya Mnunuaji na Muuzaji, vikao vya ccm vinahusikaje hapo, hili nalo linakushinda kufikiri
 
Back
Top Bottom