Shigongo: Hivi ndivyo nilivyomalizana na CCM

Shigongo: Hivi ndivyo nilivyomalizana na CCM

Kichwa cha habari mi nilifikiri tayari keshalipwa.
Kijana pamoja na ngonjera zako hakuna hata single pen hutakayolipwa na hivi umeamua kumwaga mboga ndio kabisaaa.
Benki hazijui cha Lumumba wala msomali dhamana itabidi majembe azipige mnada,hukumbuki yaliyompata Capt J Komba we kalaga bao.
Komba aliimba weee matokeo yake alipopatwa na zengwe aliokuwa akiwaimbia hawakusogea, shule zikaenda, makazi yakaenda na roho ikaenda, kishasahauliwa sembuse wewe mzee na udaku wako.
 
kumbe ni riwaya yake pendwa tu....anazingua sasa huyu nilijua kuna kitu kumbe hadithi zake zile.
 
Wewe kweli ni Mr. Porojo.

Story ndeeeefu ambayo ungetujuza kwa mstari mmoja tu.

Doroooo, mpaka nasinzia.

we ajuza kwisha habari yako!!akili yako ishaexpire!!Mi ndo kwaaanza nilijua itakuwa na part2!!
 
hahaaaaa...hana lolote anajishaua tu kashapigwa mikwaraa...!!

wapiii!!na hulipweli ht mia...

watakutumia hvyo hvyo!

si useme tu mkulu hajakupa ht ukuregenzi una hasiraa...kapewa hadi Hudson Kamoga..

Hivi huo mdomo kene avatar yako,ni wewe kwelii?maana mh.......aiseeeeee
 
Kinana kakanyaga krach elic kabadilisha gia angani sasa sijui kitatokea nn huko mbeleni
 
Be careful what you wish for! Hii title ya riwaya yako itakugharimu sana katika kudai haki yako mahakamani siku za mbele, " hivi ndivyo nilivyomaliziana...". Ina maana mushafikia muafaka wa mwisho. Usije ukatulilia tena hapa.
 
Back
Top Bottom