KERO Shida ya maji Ruangwa imezidi sasa

KERO Shida ya maji Ruangwa imezidi sasa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kijana kuwa na subira, Kuna miradi mkubwa wa maji ya kutoka chanzo Cha Nyangao, mradi huu ukikàmilika utahudumia kata za njiani za Malolo, Nandagala,Mnacho, Chienjele, Nkowe , Likunja na kata zote za mjini(kata za Ruangwa na Nachingwea), na vijiji baadhi vya wilaya ya Nachingwea mfano baadhi ya vijiji vya kata ya Chiola(Mtimbo, Chiola A na B, Namauni na Chingunduli).
Kwa Sasa mradi upo katika hatua ya kuunganisha mabomba ya line kuu, Kwa upande wa ujenzi wa matanki tayari umekamilika. Kata ya Malolo Tanki limejengwa kati ya Kijiji Cha Michenga na Chimbila A, pia Kuna Tanki lingine limejengwa juu milimani katika Kijiji Cha Chimbila A, Tanki lingine katika Kijiji Cha Nandagala
Kama ukikamilika huu mradi basi itakuwa vyema sana. Maana uvumilivu unafika mwisho, huo mradi wautekeleze tu kwa kweli
 
Hii ni kweli hata kasimu mwenywe halifichagi jambo hili kuhusu uhaba wa maji ila mwamba alijitahid kuyavuta maji kutoka nyangao kuja ruangwa ukifika michenga pale Kuna tanki kubwa limejengwa kwa ajili ya mradi huo sasa cjuw na HIV anavyostaafu kama hawataubadili mradi ukawa mfu tuombe mungu
Hamna kumalizia,hapo panakuwa kichuguu cha mchwa chap kwa haraka,kwani huuni mavuno time.
 
Hata sijui
Yule jamaa alikuwa anaunyemelea ubunge hapo kwa Katelefon akaanza kuwachimbia visima wananchi ili kwenye kampen apete, chawa wa mzee wakampa taarifa, jamaa alizuiwa na kuhamishwa eneo lile na akaambiwa huko asiguse tena.
 
Yule jamaa alikuwa anaunyemelea ubunge hapo kwa Katelefon akaanza kuwachimbia visima wananchi ili kwenye kampen apete, chawa wa mzee wakampa taarifa, jamaa alizuiwa na kuhamishwa eneo lile na akaambiwa huko asiguse tena.
Kama ni kweli, basi siasa zinaturudisha nyuma sana Waafrika
 
Kijana kuwa na subira, Kuna miradi mkubwa wa maji ya kutoka chanzo Cha Nyangao, mradi huu ukikàmilika utahudumia kata za njiani za Malolo, Nandagala,Mnacho, Chienjele, Nkowe , Likunja na kata zote za mjini(kata za Ruangwa na Nachingwea), na vijiji baadhi vya wilaya ya Nachingwea mfano baadhi ya vijiji vya kata ya Chiola(Mtimbo, Chiola A na B, Namauni na Chingunduli).
Kwa Sasa mradi upo katika hatua ya kuunganisha mabomba ya line kuu, Kwa upande wa ujenzi wa matanki tayari umekamilika. Kata ya Malolo Tanki limejengwa kati ya Kijiji Cha Michenga na Chimbila A, pia Kuna Tanki lingine limejengwa juu milimani katika Kijiji Cha Chimbila A, Tanki lingine katika Kijiji Cha Nandagala
Eeee hii ni kweli
 
Ulilalamika kuhusu shida ya maji Ruangwa watu wakaona kama unacheza tu
Sasahivi imewakuta Dar, Pwani, Morogoro na nchi nzima. Nadhani wakisoma hii thread sasahivi ndio wataelewa uchungu wako 😂😂😂
 
Back
Top Bottom