wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 554
katika awamu hii ya tano ya utawala wa JPM kuna miradi mikubwa inatekelezwa ya miradi ya maji hapa nchini ila morogoro mjini yenye shida ya maji siisikii hii inasababishwa na viongozi wa mkoa huo wengi wao wanamagari ya uzwaji wa maji mitaani kwa bei ya juu