Shida ya maji Dodoma itaisha lini?

Shida ya maji Dodoma itaisha lini?

nkanziga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
700
Reaction score
1,116
Nipo Hapa Kwenye Hili Jiji Linaloitwa Dodoma Mtaa Wa Kisasa (Nyumba 300), Kuna Shida Ya Maji Hadi Unajiuliza Kweli Hapa Ndio Makao Makuu Ya Nchi?

Wananchi Wa Hapa Hupata Maji Sometimes Mara Moja Kwa Wiki Ama Inaweza Ikatokea Yasitoke Kabisa Ndani Ya Wiki Nzima Mfano Kwa Muda Huu Ni Almost Wiki Mbili Maji Hayajatoka Na Ni Hapa Hapa Mjini.

Je, Huko kwingine hali Ikoje, Wahusika Tunaomba Msaada Kwenye Hili Wawasaidie Wakazi Wa Dodoma Kwenye Suala La Maji.
 
Ila kwa huku naona kumezidi maana ukienda mitaa kama kikuyu ni ya mgao lakini kwa masaa ila ni karibu kila siku yanatoka kwa masaa kadhaa
Mgao n maeneo mengi kwa dodoma maji yanatoka saa 12 asubuhi hadi 11 jioni. Kwa kisasa nadhani na population inachangia kwa kiasi kikubwa.
 
Mgao n maeneo mengi kwa dodoma maji yanatoka saa 12 asubuhi hadi 11 jioni. Kwa kisasa nadhani na population inachangia kwa kiasi kikubwa.
To be specific kule nyumba 300 hata hayo masaa hawajui.. watu wamejaza madumu ndani kama wauza maji ikitokea yametoka tu ni wanasombelea ndani kama hayatatoka mwaka mzima imagine
 
Back
Top Bottom