Shida tunazopata hivi sasa hapa nchini zimesababishwa na mwendazake

Mwendazake jiwe aliharibu mitambo ya umeme kwa kuamrisha ifanye kazi bila matengenezo.

Aliharibu biashara na ajira nyingi sana kwa mtindo wake wa kupora maliza za wafanyabiashara na kuwabambikizia kesi.

Aliwatesa sana wakulima kwa kuzuia mazao yao yasiuze nje.

Aliwatesa sana wafanyakazi kwa kuwayima annual increment na nyongeza ya mishahara.

Alianziaha miradi mikubwa mingi isiyoenda na nyakati na isiyo na tija. Mfano;-
1. Ujenzi wa daraja la Busisi urefu km 3 kwenda kwa wakwe zake.
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma . Enzi za Nyerere kulikuwa na ulazima wa makao makuu kuwa katikati lkn haina maana ktk enzi hizi.
3. Aliwapunguza wafanyakazi wengi sana kwa sababu za kubumba kama vyeti feki, ajira hewa na upuuzi mwingine.
4. Ujenzi wa bawawa la Nyerere. Ktk zama hizi za mabadiliko ya tabia nchi ni ujuha kujenga mabwawa ya umeme. Kwasabb siyo ya kutumainiwa. Tulipaswa kuwekeza kwenye umeme wa upepo na jua.

Mamiradi haya na mengine yanamsumbua rais wa Sasa kuyamalizia ndiyo maana hata tozo imeanziahwa. Kuyapiga chini anaogopa mama wa watu.

Mama anahangaika kuufufu uchumi uliokuwa umeanguka na kuyamalizia haya mamiradi ndiyo maana shida haziishi.

Ila jiwe, Mungu amuongezee adhabu huko aliko.
Hakuna Rais ambaye atakubalika na Wananchi wote.

Hata wewe pia hukubaliki Na ndugu zako wote
 
Mwendazake jiwe aliharibu mitambo ya umeme kwa kuamrisha ifanye kazi bila matengenezo.

Aliharibu biashara na ajira nyingi sana kwa mtindo wake wa kupora maliza za wafanyabiashara na kuwabambikizia kesi.

Aliwatesa sana wakulima kwa kuzuia mazao yao yasiuze nje.

Aliwatesa sana wafanyakazi kwa kuwayima annual increment na nyongeza ya mishahara.

Alianziaha miradi mikubwa mingi isiyoenda na nyakati na isiyo na tija. Mfano;-
1. Ujenzi wa daraja la Busisi urefu km 3 kwenda kwa wakwe zake.
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma . Enzi za Nyerere kulikuwa na ulazima wa makao makuu kuwa katikati lkn haina maana ktk enzi hizi.
3. Aliwapunguza wafanyakazi wengi sana kwa sababu za kubumba kama vyeti feki, ajira hewa na upuuzi mwingine.
4. Ujenzi wa bawawa la Nyerere. Ktk zama hizi za mabadiliko ya tabia nchi ni ujuha kujenga mabwawa ya umeme. Kwasabb siyo ya kutumainiwa. Tulipaswa kuwekeza kwenye umeme wa upepo na jua.

Mamiradi haya na mengine yanamsumbua rais wa Sasa kuyamalizia ndiyo maana hata tozo imeanziahwa. Kuyapiga chini anaogopa mama wa watu.

Mama anahangaika kuufufu uchumi uliokuwa umeanguka na kuyamalizia haya mamiradi ndiyo maana shida haziishi.

Ila jiwe, Mungu amuongezee adhabu huko aliko.
Nashangaa mwamba tameer hajadislike.
 
Mwendazake jiwe aliharibu mitambo ya umeme kwa kuamrisha ifanye kazi bila matengenezo.

Aliharibu biashara na ajira nyingi sana kwa mtindo wake wa kupora maliza za wafanyabiashara na kuwabambikizia kesi.

Aliwatesa sana wakulima kwa kuzuia mazao yao yasiuze nje.

Aliwatesa sana wafanyakazi kwa kuwayima annual increment na nyongeza ya mishahara.

Alianziaha miradi mikubwa mingi isiyoenda na nyakati na isiyo na tija. Mfano;-
1. Ujenzi wa daraja la Busisi urefu km 3 kwenda kwa wakwe zake.
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma . Enzi za Nyerere kulikuwa na ulazima wa makao makuu kuwa katikati lkn haina maana ktk enzi hizi.
3. Aliwapunguza wafanyakazi wengi sana kwa sababu za kubumba kama vyeti feki, ajira hewa na upuuzi mwingine.
4. Ujenzi wa bawawa la Nyerere. Ktk zama hizi za mabadiliko ya tabia nchi ni ujuha kujenga mabwawa ya umeme. Kwasabb siyo ya kutumainiwa. Tulipaswa kuwekeza kwenye umeme wa upepo na jua.

Mamiradi haya na mengine yanamsumbua rais wa Sasa kuyamalizia ndiyo maana hata tozo imeanziahwa. Kuyapiga chini anaogopa mama wa watu.

Mama anahangaika kuufufu uchumi uliokuwa umeanguka na kuyamalizia haya mamiradi ndiyo maana shida haziishi.

Ila jiwe, Mungu amuongezee adhabu huko aliko.
Hiyo mitambo mbona siyo ya kawaida .samia anashindwa nini iamrishwe ifsnye kazi kama mwenda zake aliweza
 
Kwanza usimkosee adabu mzee Mwinyi. Mzee Mwinyi anaitwa Hayati.

Kwa taarifa yako watu waliofariki wako ktk makundi matatu.
1. Hayati....hawa ni watu wema walio maarufu.
2. Marehemu. Ni watu wa kawaida wanaozikwa kwa ubwabwa wa kupikwa na majirani.
3. Mwendazake. Ni mtu dhalili ama asiye na sifa nzuri kwa jamii kama ilivyo kwa jiwe.

Jiwe anaitwa mwendazake siyo kwa kuwa tu amefariki, bali ni kwasabb alikuwa hapendwi na jamii kwa matendo yake maovu
MWENDAZAKE ni nani Hasa?

Nilidhani unamaanisha Mzee Mwinyi.
 
MWENDAZAKE ni nani Hasa?

Nilidhani unamaanisha Mzee Mwinyi.
Mwendazake ni mtu wa hovyo, aliyekufa hovyo na kifo chake kushangiliwa na wengi; mfano
"Mungu ameamulia ugomvi" (Nape),
"shetani alikuwepo ikulu" (Askofu Mwingira),
"nchi imepumua" (mzee Wasira),
"Wema hawafi" (mzee Makamba),
"Magufuli hakuwa kiongozi" (Zitto), n.k
 
Ukisoma uzi halafu ukaishia kutamani kutukana badala ya kujibu hoja za kwenye uzi ujue uzi huo umekuzidi akili
Sometimes unakutana na Uzi hadi unajiuliza aliyeandika hapa ni mtu ama vipi! Sasa ulichokiandika hakuna hata pa Kuanzia kujadili maana ujinga Umeanza mwanzo kwa hiyo hamna point itakuja mbeleni bora kukaa kimya tu kukuacha na ujinga wako pengine una faida kwako
 
Machawa wa wahuni kilasiku mnakuja kulalamika, ila wahuni wengi waliokomeshwa wako kimya na hutawasikia wakiongea maana wanajua walipata walichostahili kupata.

Mfano, tajiri wa mabasi mwanza sirari na wengine kibao.

Nchi ilikuwa inaendeshwa kihuni sana, tunamshukuru kwa kuwatanguliza kuzimu baadhi ya wahuni, hawa waliobaki watanzania tumeshajua namna ya kuwashughulikia ni kuwatanguliza tu, hakuna namna

NB: Uncle ndiye kipimo cha uongozi Tanzania na Africa kwa miaka hadi 20 ijayo. Uwe unataka uwe hautaki ndivyo ilivyo.

Wasomi, wanasiasa, wanazuoni wa Africa wanamkubali uncle, sasa wewe na hutu tuakili twako kiduchu ambato hatuwezi hata kumanage kuku 20 unasema nini.
 
Kwanza usimkosee adabu mzee Mwinyi. Mzee Mwinyi anaitwa Hayati.

Kwa taarifa yako watu waliofariki wako ktk makundi matatu.
1. Hayati....hawa ni watu wema walio maarufu.
2. Marehemu. Ni watu wa kawaida wanaozikwa kwa ubwabwa wa kupikwa na majirani.
3. Mwendazake. Ni mtu dhalili ama asiye na sifa nzuri kwa jamii kama ilivyo kwa jiwe.

Jiwe anaitwa mwendazake siyo kwa kuwa tu amefariki, bali ni kwasabb alikuwa hapendwi na jamii kwa matendo yake maovu
Dogo magu alikuingilia kipindi kirefu sana.
 
Mwendazake jiwe aliharibu mitambo ya umeme kwa kuamrisha ifanye kazi bila matengenezo.

Aliharibu biashara na ajira nyingi sana kwa mtindo wake wa kupora maliza za wafanyabiashara na kuwabambikizia kesi.

Aliwatesa sana wakulima kwa kuzuia mazao yao yasiuze nje.

Aliwatesa sana wafanyakazi kwa kuwayima annual increment na nyongeza ya mishahara.

Alianziaha miradi mikubwa mingi isiyoenda na nyakati na isiyo na tija. Mfano;-
1. Ujenzi wa daraja la Busisi urefu km 3 kwenda kwa wakwe zake.
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma . Enzi za Nyerere kulikuwa na ulazima wa makao makuu kuwa katikati lkn haina maana ktk enzi hizi.
3. Aliwapunguza wafanyakazi wengi sana kwa sababu za kubumba kama vyeti feki, ajira hewa na upuuzi mwingine.
4. Ujenzi wa bawawa la Nyerere. Ktk zama hizi za mabadiliko ya tabia nchi ni ujuha kujenga mabwawa ya umeme. Kwasabb siyo ya kutumainiwa. Tulipaswa kuwekeza kwenye umeme wa upepo na jua.

Mamiradi haya na mengine yanamsumbua rais wa Sasa kuyamalizia ndiyo maana hata tozo imeanziahwa. Kuyapiga chini anaogopa mama wa watu.

Mama anahangaika kuufufu uchumi uliokuwa umeanguka na kuyamalizia haya mamiradi ndiyo maana shida haziishi.

Ila jiwe, Mungu amuongezee adhabu huko aliko.
That is why you are shemale or LGBTQ+ to have your adversary view like this; frankly speaking, you are doomed, to say the least!!!
 
That is why you are shemale or LGBTQ+ to have your adversary view like this; frankly speaking, you are doomed, to say the least!!!
Siyo kwamba ukiandika kioja kwa kiingereza ndiyo kitageuka kuwa hoja. Ni upuuzi tu, bora ungeandika kwa kiswahili .
 
Mwendazake jiwe aliharibu mitambo ya umeme kwa kuamrisha ifanye kazi bila matengenezo.

Aliharibu biashara na ajira nyingi sana kwa mtindo wake wa kupora maliza za wafanyabiashara na kuwabambikizia kesi.

Aliwatesa sana wakulima kwa kuzuia mazao yao yasiuze nje.

Aliwatesa sana wafanyakazi kwa kuwayima annual increment na nyongeza ya mishahara.

Alianziaha miradi mikubwa mingi isiyoenda na nyakati na isiyo na tija. Mfano;-
1. Ujenzi wa daraja la Busisi urefu km 3 kwenda kwa wakwe zake.
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma . Enzi za Nyerere kulikuwa na ulazima wa makao makuu kuwa katikati lkn haina maana ktk enzi hizi.
3. Aliwapunguza wafanyakazi wengi sana kwa sababu za kubumba kama vyeti feki, ajira hewa na upuuzi mwingine.
4. Ujenzi wa bawawa la Nyerere. Ktk zama hizi za mabadiliko ya tabia nchi ni ujuha kujenga mabwawa ya umeme. Kwasabb siyo ya kutumainiwa. Tulipaswa kuwekeza kwenye umeme wa upepo na jua.

Mamiradi haya na mengine yanamsumbua rais wa Sasa kuyamalizia ndiyo maana hata tozo imeanziahwa. Kuyapiga chini anaogopa mama wa watu.

Mama anahangaika kuufufu uchumi uliokuwa umeanguka na kuyamalizia haya mamiradi ndiyo maana shida haziishi.

Ila jiwe, Mungu amuongezee adhabu huko aliko.
Ina maana kabla yake mitambo ilikuwa haijaharibika na umeme ulikuwa wa uhakika au sio?
 
Mwendazake jiwe aliharibu mitambo ya umeme kwa kuamrisha ifanye kazi bila matengenezo.

Aliharibu biashara na ajira nyingi sana kwa mtindo wake wa kupora maliza za wafanyabiashara na kuwabambikizia kesi.

Aliwatesa sana wakulima kwa kuzuia mazao yao yasiuze nje.

Aliwatesa sana wafanyakazi kwa kuwayima annual increment na nyongeza ya mishahara.

Alianziaha miradi mikubwa mingi isiyoenda na nyakati na isiyo na tija. Mfano;-
1. Ujenzi wa daraja la Busisi urefu km 3 kwenda kwa wakwe zake.
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma . Enzi za Nyerere kulikuwa na ulazima wa makao makuu kuwa katikati lkn haina maana ktk enzi hizi.
3. Aliwapunguza wafanyakazi wengi sana kwa sababu za kubumba kama vyeti feki, ajira hewa na upuuzi mwingine.
4. Ujenzi wa bawawa la Nyerere. Ktk zama hizi za mabadiliko ya tabia nchi ni ujuha kujenga mabwawa ya umeme. Kwasabb siyo ya kutumainiwa. Tulipaswa kuwekeza kwenye umeme wa upepo na jua.

Mamiradi haya na mengine yanamsumbua rais wa Sasa kuyamalizia ndiyo maana hata tozo imeanziahwa. Kuyapiga chini anaogopa mama wa watu.

Mama anahangaika kuufufu uchumi uliokuwa umeanguka na kuyamalizia haya mamiradi ndiyo maana shida haziishi.

Ila jiwe, Mungu amuongezee adhabu huko aliko.
Muache jamaa apumzike kwa amani.
 
Sio kweli , zmesababishwa na cc wenyew na watungulz bab zetu babu zetu
 
Kwani matatizo yaliopo sasa Tanzania yalianzia kipindi Cha Magu🤔🤔 inaonekana hujui hata kidogo chanzo Cha matatizo ya Tanzania ni nini, marehemu ataendelea kuwatesa hadi mtakapo kua na akili timamu
 
Kwani matatizo yaliopo sasa Tanzania yalianzia kipindi Cha Magu🤔🤔 inaonekana hujui hata kidogo chanzo Cha matatizo ya Tanzania ni nini,
Tujuze wewe unayejua chanzo cha matatizo ya Tanzania
 
Mwendazake jiwe aliharibu mitambo ya umeme kwa kuamrisha ifanye kazi bila matengenezo.

Aliharibu biashara na ajira nyingi sana kwa mtindo wake wa kupora maliza za wafanyabiashara na kuwabambikizia kesi.

Aliwatesa sana wakulima kwa kuzuia mazao yao yasiuze nje.

Aliwatesa sana wafanyakazi kwa kuwayima annual increment na nyongeza ya mishahara.

Alianziaha miradi mikubwa mingi isiyoenda na nyakati na isiyo na tija. Mfano;-
1. Ujenzi wa daraja la Busisi urefu km 3 kwenda kwa wakwe zake.
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma . Enzi za Nyerere kulikuwa na ulazima wa makao makuu kuwa katikati lkn haina maana ktk enzi hizi.
3. Aliwapunguza wafanyakazi wengi sana kwa sababu za kubumba kama vyeti feki, ajira hewa na upuuzi mwingine.
4. Ujenzi wa bawawa la Nyerere. Ktk zama hizi za mabadiliko ya tabia nchi ni ujuha kujenga mabwawa ya umeme. Kwasabb siyo ya kutumainiwa. Tulipaswa kuwekeza kwenye umeme wa upepo na jua.

Mamiradi haya na mengine yanamsumbua rais wa Sasa kuyamalizia ndiyo maana hata tozo imeanziahwa. Kuyapiga chini anaogopa mama wa watu.

Mama anahangaika kuufufu uchumi uliokuwa umeanguka na kuyamalizia haya mamiradi ndiyo maana shida haziishi.

Ila jiwe, Mungu amuongezee adhabu huko aliko.
Uyu mwendazake uyu, apumzishwe anapostahili,
 
Back
Top Bottom