A
Anonymous
Guest
Watu wa Kimara Michungwani mtaa wa Mengeni tunapata sana shida ya maji ingawa mvua zinanyesha lakini tunakaa week 3 hadi mwezi bila maji na tunaona hali hii haitatuliwi maana ni muda mrefu sasa.
Inabidi kununua maji kwenye magari ambayo tunauziwa kwa bei kubwa na sio kila mwananchi anauwezo wa kununua maji ya kwenye magari..
Soma Pia: Nini kimetokea DAWASA? Maji yamepotelea wapi? Kuna matatizo gani?
Hivyo tunaomba mamlaka husika watutatulie shida hii
Pia soma ~ DAWASSA: Kimara Stop Over wameanza kupata maji baada ya maboresho ya miundombinu
Inabidi kununua maji kwenye magari ambayo tunauziwa kwa bei kubwa na sio kila mwananchi anauwezo wa kununua maji ya kwenye magari..
Soma Pia: Nini kimetokea DAWASA? Maji yamepotelea wapi? Kuna matatizo gani?
Hivyo tunaomba mamlaka husika watutatulie shida hii
Pia soma ~ DAWASSA: Kimara Stop Over wameanza kupata maji baada ya maboresho ya miundombinu