Shida sio CCM shida ni Watanzania

Shida sio CCM shida ni Watanzania

fact only

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
975
Reaction score
1,356
Habari Wakuu.

Ukiwa makini utaelewa kwamba hapa Tanzania shida sio CCM shida ni Watanzania wenyewe (ambao wanaunda CCM).

Hivyo basi hata kama chama kingine kikiingia Madarakani shida na vilio vitakuwa ni vilevile tena inawezekana ikawa zaidi. WHY? kwasababu shida sio chama shida ni watanzania wenyewe.
 
Habari Wakuu.

Ukiwa makini utaelewa kwamba hapa Tanzania shida sio CCM shida ni Watanzania wenyewe (ambao wanaunda CCM).

Hivyo basi hata kama chama kingine kikiingia Madarakani shida na vilio vitakuwa ni vilevile tena inawezekana ikawa zaidi. WHY? kwasababu shida sio chama shida ni watanzania wenyewe.
Chanzo Cha Matatizo (CCM)
adui wetu makubwa ni katiba ya mwaka 1977 na utawala dhalimu wa CCM
 
Akili nzima ya taifa imegeukia kwenye makalio ya huyu binti.

Unategemea mabadiriko chanya yapi? Wakati mbongo akili inawaza waza mavi mavi muda woteee
Screenshot_20250708-155807.png
 
Habari Wakuu.

Ukiwa makini utaelewa kwamba hapa Tanzania shida sio CCM shida ni Watanzania wenyewe (ambao wanaunda CCM).

Hivyo basi hata kama chama kingine kikiingia Madarakani shida na vilio vitakuwa ni vilevile tena inawezekana ikawa zaidi. WHY? kwasababu shida sio chama shida ni watanzania wenyewe.
Kwani CCM wao ni waburundi?
 
Habari Wakuu.

Ukiwa makini utaelewa kwamba hapa Tanzania shida sio CCM shida ni Watanzania wenyewe (ambao wanaunda CCM).

Hivyo basi hata kama chama kingine kikiingia Madarakani shida na vilio vitakuwa ni vilevile tena inawezekana ikawa zaidi. WHY? kwasababu shida sio chama shida ni watanzania wenyewe.

..CCM si Watanzania?

..Kama shida ni Watanzania, basi hata Ccm nao ni shida.

..Je, shida ni Watanzania wote, au baadhi?

..basi upo uwezekano tukachague wale wasio na shida tofauti na Ccm.
 
Chanzo Cha Matatizo (CCM)
adui wetu makubwa ni katiba ya mwaka 1977 na utawala dhalimu wa CCM
Kama shida ni CCM kwa nini wana Nchi tusichukue maamuzi magumu au tupo kwa ule usemi NANI ATAMFUNGA PANYA KENGELE?
 
Habari Wakuu.

Ukiwa makini utaelewa kwamba hapa Tanzania shida sio CCM shida ni Watanzania wenyewe (ambao wanaunda CCM).

Hivyo basi hata kama chama kingine kikiingia Madarakani shida na vilio vitakuwa ni vilevile tena inawezekana ikawa zaidi. WHY? kwasababu shida sio chama shida ni watanzania wenyewe.
Mimi nachojua watz wengi wanakipenda chama cha mapinduzi, hasa watu waishio mijini hii ni kwa utafiti niliofanya. Atakayejaribu kunipinga ahakikishe naye amefanya utafiti kwani tafiti hupingwa kwa tafiti.
 
Back
Top Bottom