Channels zote siku hizi unalipia no free lunch mkubwa kuanzia mwezi wa sabaWadau kuna hali isiyo ya kawaida muda wa siku karibia nne sasa katika king'amuzi cha startimes. Katika king'amuzi hicho unaweza kuona chanel 2 tu za nyumbani iwapo hujalipia kifurushi chochote. Chanel hizo ni TBC1 na TV1 pekee yake. Nijuavyo mimi sheria inataka chanel zote za ndani zionekane hata kama hujalipia kifurushi chochote, channel hizo ni kama Channel 10, ITV, startv nk. Sasa ukifungua chanel hizo inakuambia kwamba hiyo ni chanel inayohitaji malipo.
Sasa naomba kujua mamlamka ya mawasiliano TCRA mko wapi watu wanafanya kinyume na sheria na hakuna hatua stahiki zinachukuliwa na wala kituo hicho hakitoi taarifa yoyote kwa umma? Inakuwaje mtu akitukana inakuwa rahisi kumkamata lakini kituo kikubwa kama hicho kinakiuka sheria ya nchi bila taarifa kutolewa wala hatua kuchukuliwa? Ama na wenyewe walikuwa wakwepa kodi kama tetesi za kituo kingine zinazoendelea huku mitandaoni?
Basi itangazwe rasimi kama ni kweli.Channels zote siku hizi unalipia no free lunch mkubwa kuanzia mwezi wa saba
Channels zote siku hizi unalipia no free lunch mkubwa kuanzia mwezi wa saba
Ndugu yangu hizo free channels tano serikali ilikuwa inazilipia so kuanzia mwezi wa saba serikali imejiondoa kulipia kwa hiyo hata tcra wanajua hilo. Na hata mungi msemaji wa tcra alisha elezea hicho kitu so acha tutafunweHakuna anayetaka bure, ila tunaangalia sheria inasemaje. Kama sheria imebadilika inabidi tutangaziwe, na isitoshe tunajua serekali hii ni yetu wanyonge kama tunavyotangaziwa na rais wetu kila apandapo jukwaani. TCRA tunaitaka itutangazie tujue nini kinaendelea, mbona TV1 tunaona bure na hiyo TBC1?
Ndugu yangu hizo free channels tano serikali ilikuwa inazilipia so kuanzia mwezi wa saba serikali imejiondoa kulipia kwa hiyo hata tcra wanajua hilo. Na hata mungi msemaji wa tcra alisha elezea hicho kitu so acha tutafunwe
Jina uhakika ninacho kisema serikali ilikuwa ina lipia hizo channels ili watu waone bure but from July wamiliki walipewa barua ya kuchagua channel moja itakayokuwa free azamtv tbc 1, dstv channel ten, star time tbc. Hata continental decoder lazima ulipie ndiyo utaona channel japo kuwa na wao hawatumii satellite wanatumia minara ya ardhini. Na mungi msemaji wa tcra alisha elezea hiki kitu akasema wana maongezi na serikali ili kuona kuona kama inaendelea kulipia hizo five local channels.Ndugu yangu unajua usemalo ama na wewe umeamua kusema tu ili uonekane wangalau unakwenda na wakati? Hebu niambie kama unataka uone hizo chanel tano serekali ilizojitoa unatakiwa kulipia shilingi ngapi kwa mwezi? Hapo ndio nitajua unajua unalosema, vinginevyo na wewe utakuwa umeamua tu kupiga siasa hapa jukwaani.
Nina
Jina uhakika ninacho kisema serikali ilikuwa ina lipia hizo channels ili watu waone bure but from July wamiliki walipewa barua ya kuchagua channel moja itakayokuwa free azamtv tbc 1, dstv channel ten, star time tbc. Hata continental decoder lazima ulipie ndiyo utaona channel japo kuwa na wao hawatumii satellite wanatumia minara ya ardhini. Na mungi msemaji wa tcra alisha elezea hiki kitu akasema wana maongezi na serikali ili kuona kuona kama inaendelea kulipia hizo five local channels.
ndio maana tunataka ufafanuzi toka TCRA maana toka mwanzo ndio waliotoa mwongozo kuwa kila kituo cha TV lazima kiwe kinaonyesha channel hizo bila malipo.Azam TV nao kama hujalipia wanaacha TBC tu
Rais kasema mkiangalia tv hamtafanya kazi kwaio itafika kipindi tv na radio stations zote zitakuwa zinawashwa usiku tu basWadau kuna hali isiyo ya kawaida muda wa siku karibia nne sasa katika king'amuzi cha startimes. Katika king'amuzi hicho unaweza kuona chanel 2 tu za nyumbani iwapo hujalipia kifurushi chochote. Chanel hizo ni TBC1 na TV1 pekee yake. Nijuavyo mimi sheria inataka chanel zote za ndani zionekane hata kama hujalipia kifurushi chochote, channel hizo ni kama Channel 10, ITV, startv nk. Sasa ukifungua chanel hizo inakuambia kwamba hiyo ni chanel inayohitaji malipo.
Sasa naomba kujua mamlamka ya mawasiliano TCRA mko wapi watu wanafanya kinyume na sheria na hakuna hatua stahiki zinachukuliwa na wala kituo hicho hakitoi taarifa yoyote kwa umma? Inakuwaje mtu akitukana inakuwa rahisi kumkamata lakini kituo kikubwa kama hicho kinakiuka sheria ya nchi bila taarifa kutolewa wala hatua kuchukuliwa? Ama na wenyewe walikuwa wakwepa kodi kama tetesi za kituo kingine zinazoendelea huku mitandaoni?
Poa mkubwa maneno yangu ni ya kijiweni endelea kulipia tu. Najua ninacho kisema kama huniamini tuishie hapo lakini hutasikia tamko la serikali wala tcra hii biashara iliisha Isha ni mwendo wa kulipia from star times, continental, azam tv, ting, dstv.Nashukuru kwa maelezo yako marefu, kimsingi siyapingi lakini nayaweka kwenye kundi la maneno ya kijiweni. Ninachotaka unimbie ili uweze kuona wangalau hizo local channels tano unatakiwa uweke sh ngapi kwa mwezi? Mfano hao startimes, kinyume na hapo ni kwamba unataka kusema maneno ya kusadikika kwani sheria bado iko wazi na haijabadilishwa, labda kama kuna ukiukwaji wa sheria za nchi, na hili TCRA wanapaswa kulitolea ufafanuzi.