mkulimamiwa
JF-Expert Member
- Mar 4, 2025
- 2,301
- 4,527
Mada ni wasukuma au Rais na ukoo/watoto wake?Mleta mada wewe ni mpuuzi sana wakati wa Magufuli aliwajaza wasukuma kila kona na pia aliwajaza ndugu zake kwenye serikali yake acha udini na ujinga wako hapa
Kuna mahali nimetaja dini ya mtu hapo! Kusema usultani mwingi ni dini?Achae kuingia kwenye udini wako wa kipuuzi wewe
Hili ni povu kwakweliSema hicho hicho unachotaka kusema, japo binafsi yangu nitakuona mpumbavu..
Je hakuna viongozi waislam ambao hawajafanyq ulafi?
Je hawa waislam ni kweli dini yao inaelekeza wawe washenzi ama ushenzi ni wa kwao binafsi?
Je mafisadi wote duniani ni waislam?
Kina biya wa congo, nguema, museven na wengineo.
Watanzania inapaswa kuwa kitu kimoja kupinga huu unyama na udhalimu unaoendelea.
Tukifanya masihara, watatumaliza hawa, kisa tumejigawa kwa udini.
Nakumbuka story ya darasa la ngapi sijui ile simba alipata tabu kula kikundi cha ng'ombe, akatumia plan b aliwachonganisha ng'ombe ndio akawala kiurahisi
Uislamu unasema mtu mweusi ni mtumwa. Na waliotuuza kama watumwa walikuwa waislamu.Hivi unaujua uislamu? Acha ushenzi wewe kaa chini uusome uislamu Tabia binafsi ya mtu uinaingiza uislamu?
Nyerere hakuiba kaongoza kitakatifu?.Watu wa hii dini hawafai kupatiwa madaraka kabisa
Ndugu kenya wametuzidi uchumi kwa sababu hawajawahi kuwa na Rais mwislamu. Leta nchi ya afrika ya watu weusi ya kiislamu yenye maendeleo. Unang'ng'ana na dini ambayo haijawahi kujenga shule,hospitali, taasisi wala chuo katika nchi yako.Nyerere hakuiba kaongoza kitakatifu?.
Mkapa alie toa mali ya Serikali na kuzi binafsisha na kununua share za bandari na kujimilikisha migodi 3 alikuwa msafi nae?.
Magufuli alie kutwa na na millions za dollars kwake na kujenga Chato kwa mali ya serikali nae msafi pia?. Usiwe na chuki na dini kwa kosa la mumini wa hio dini.
Kwahio Kenya Uganda na Congo Zina maendeleo kuliko Tanzania au Somali?.🤣Ndugu kenya wametuzidi uchumi kwa sababu hawajawahi kuwa na Rais mwislamu. Leta nchi ya afrika ya watu weusi ya kiislamu yenye maendeleo. Unang'ng'ana na dini ambayo haijawahi kujenga shule,hospitali, taasisi wala chuo katika nchi yako.
Wsomali wangekuwa na hela wangekimbilia kenya? Wanamshukuru RUTO amewarahisishia kupata ID card ya mwananchi.Kwahio Kenya Uganda na Congo Zina maendeleo kuliko Tanzania au Somali?.🤣
Wagalatia mna roho mbaya za kichoyo mpk kwa familia zenu. Sasa wivu wa niniUTAWALA WA NYERERE.
•Hapakuwepo na mtoto wake mahala popote kisa Baba ni raisi.
UTAWALA WA MWINYI
•Watoto wote walikuwemo kwenye system, hadi watoto wa ndugu n.k
UTAWALA WA MKAPA
•Hakuna mtoto wake alisikika popote akifanya lolote kwa mgongo wa uraisi wa babake.
UTAWALA WA KIKWETE
•Miraji na Rizwani walitamba sana wakati wa babao, upendeleo mwingi n.k
UTAWALA WA MAGUFULI
•Hakuna mtoto wake aliekuwepo kwenye system, Huyu Jesca sote tunajua ni mama anambeba.
UTAWALA WA SAMIA
•ABDUL anatunyoosha nje ndani, majumba Dubai, magari ya mabilioni, vigae vya bilioni 2 n.k
Sijui nataka kusema nini, 😎😎😎
Duuh.....hakuna penye nafuuMagufuli mtoe alijaza wasukuma mpaka mama kamuiga kajaza wazanzibari kila wilaya ya bara. Alimweka binamu wake Biteko katika baraza la uwaziri.
ukikaa kwa kutulia utajua kuwa waislamu ndio waharibifu wakubwa sana wa hili taifa hawa hawapaswi tena kupewa madaraka kwa sasa hadi wakristo waitengeneze nchi kwanza hata kwa maiaka 20, awamu zote za waislam ndizo awamu zenye uchafu wa kila aina na hasa wizi na ubinafsi, hawa walijaaliwa kukata mauno tuu.UTAWALA WA NYERERE.
•Hapakuwepo na mtoto wake mahala popote kisa Baba ni raisi.
UTAWALA WA MWINYI
•Watoto wote walikuwemo kwenye system, hadi watoto wa ndugu n.k
UTAWALA WA MKAPA
•Hakuna mtoto wake alisikika popote akifanya lolote kwa mgongo wa uraisi wa babake.
UTAWALA WA KIKWETE
•Miraji na Rizwani walitamba sana wakati wa babao, upendeleo mwingi n.k
UTAWALA WA MAGUFULI
•Hakuna mtoto wake aliekuwepo kwenye system, Huyu Jesca sote tunajua ni mama anambeba.
UTAWALA WA SAMIA
•ABDUL anatunyoosha nje ndani, majumba Dubai, magari ya mabilioni, vigae vya bilioni 2 n.k
Sijui nataka kusema nini, 😎😎😎
Shida Elimu mbalimbali😂😂UTAWALA WA NYERERE.
•Hapakuwepo na mtoto wake mahala popote kisa Baba ni raisi.
UTAWALA WA MWINYI
•Watoto wote walikuwemo kwenye system, hadi watoto wa ndugu n.k
UTAWALA WA MKAPA
•Hakuna mtoto wake alisikika popote akifanya lolote kwa mgongo wa uraisi wa babake.
UTAWALA WA KIKWETE
•Miraji na Rizwani walitamba sana wakati wa babao, upendeleo mwingi n.k
UTAWALA WA MAGUFULI
•Hakuna mtoto wake aliekuwepo kwenye system, Huyu Jesca sote tunajua ni mama anambeba.
UTAWALA WA SAMIA
•ABDUL anatunyoosha nje ndani, majumba Dubai, magari ya mabilioni, vigae vya bilioni 2 n.k
Sijui nataka kusema nini, 😎😎😎
Lete hiyo haya au kifungu kinachosema hivyo acha ujinga wako hapaUislamu unasema mtu mweusi ni mtumwa. Na waliotuuza kama watumwa walikuwa waislamu.
Ujinga wa mtu madrasa umeingiaje?Mada ni wasukuma au Rais na ukoo/watoto wake?
Kunywa maji bariidi kwanza chief ndipo uchangie mada