kwa tafsiri ya wanyiha wa kule mbozi mbeya neno'shibuda'linamaana ya muuaji.Sasa kama hii ni tafsiri sahihi basi shibuda na kauri zake zinaonyesha jinsi alivyokukuwa amenuia kuua upinzani ila sasa ameshindwa ananza kuweweseka dawa yake ni kumpuuza kama mh:Samweli Sitta alivyo mpuuza DAMU K.malima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.