Hii nchi ukitaka kukiua chama cha siasa kupitia mamluki ni rahisi kweli ni ndani ya miaka mitano tu kama umejipanga vyema.
Pro Safari katoka CUF juzi tu lakini leo ni kigogo wa chama,akina J.Mallya etc lazima wawe wanakaa benchi ili kuwasoma vyema.
Huyu Shibuda naye anapenda kick kweli yaani anasubiri mpaka atimuliwe ilhali keshasema ameshachoma katiba ya chama.
Si atambae.