Shibuda out

Kitila hatuna imani na wewe kabisa!!!!!!!!
Wewe umekuwa ukitumiwa na kambi ya "NORTH ONLY" kuhalalisha udikiteta ndani ya Chadema. Kumbuka wewe ndiye uliyekuja na vigezo tata vilivyopelekea kuchaguliwa kwenye viti maalumu watu familia au kanda moja.
Nadhani na wewe upo kwenye payroll ya wale mabepari wawili!
 
Kwa hili naungana na wewe toka lini CCM mkawa na imani na uongozi wa Chadema, ungesema una imani naye ningekupinga.
 

ni kwel walikuwa wagombea kumi. Source mchakato majimbon tbc 1.
 
Kupingana kwa Hoja ndiyo,ndiyo tofauti iliyopo kati yaCHADEMA na CCM

kuna post yang niliiweka mpema jana, kuhusu misimamo wanajf wawe waelewa bac kuhusu cdm, inaongozwa kwa katiba na kanuni zake, hivyo suala la shibuda halina maana, mimi jana nimeongea nae na kutumia makada wa ccm lakin bado nia yake ipo pale pale na kasema atagombea nafasi hiyo kwani kwa sasa ana kaimu na hajapewa barua ya kuzuiwa kuendelea na kazi. Na akasema hawez kuzuia watu wasiseme ila cdm shy wanaiman naye sana kuibomoa ccm na hana mapenzi tena na ccm.
 
Yaani wewe umejiunga JF wiki tatu zilizopita mara tayari umeshaiona forum hii ni kijiwe na unategemea mtu yeyote mwenye akili asikuone kwamba hasa ndio umejiunga humu kuishushia hadhi JF?????

Ama kweli ishi uyaone maajabu ya dunia!!!!!!!!!!!!!!

Mbona sku nyingi sana JF imekuwa kijiwe
 

Dr.Mkumbo,
Vipi kule Nzega Dr.Slaa alipojichukulia sheria kumsimamisha Katibu wa wilaya bila idhini ya vikao halal?Bado CDM kuna double standards,hii ni CCM style mkifumbia macho mtaua chama
 
Bomu kabisa,

Mbona huwa mnalalamika wabunge wa ccm kwa wingi wao wanavyotimiza katiba kwa kupitisha miswaada mnayoita mibovu, hua kwanini mnaiita miswaada mibovu wakati huwa wametekeleza kwa kufuata katiba na huwa wanapiga kura kama katiba inavyotaka.

Kumbe ninyi mkipiga kura ndo katiba, na wa ccm wakipiga kura huwa wana ni matumbo yao? bogus kabisa.

Mnaweza kuwa mko sahihi, kama ilivyo ccm kwa wingi wao kupitisha utumbo, hebu tutajieni wajumbe wa chadema tuone kama nao hawako biased kwa ukanda .
 

Mkuu shukrani kwa haya maelezo. Umesema sababu kuu ni mbili: hayakufuata desturi ya kitanzania na kanuni za chadema. Kwenye desturi umesema si vyema wakati watu wanazika wengine wanagawana vyeo (Uroho wa madaraka)!!! Lakini sijaona kanuni za CHADEMA zinazomnyima nafasi Bwana Shibuda kukaimu hiyo nafasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…