Wana JF
Kamati kuu ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) iliyokutana tarehe 30/4/2011 imeamua kumtoa Shibuda kwenye nafasi ya kukaimu nafasi ya Uenyekiti wa Mkoa wa Shinyanga. Lakini kwenye kikao hicho nusura zichapwe kati ya Lema na Zitto, baada ya Lema kumjia juu Zitto ya kuwa mambo yote hayo ya Shibuda kayasababisha yeye pale Shinyanga kwa kuwaambia baraza la uongozi la mkoa kumteua Shibuda kuwa Kaimu Mwenyekiti, wakati katiba ya chama inasema Kaimu Mwenyekiti anapaswa kutokana na Baraza la Uongozi la Mkoa,
Huku Shibuda akiwa si mjumbe wa Baraza hilo, ndipo aliposimama Zitto na kupinga kauli hizo, ndipo wabunge na wajumbe wa kamati kuu walipo kuja juu na kumkumbusha Zitto juu ya Shibuda ya kuwa aliwatukana wabunge.
Na akaambiwa aombe radhi akakataa na mpaka sasa hajaomba kwa nini Zitto unamtetea huyu jamaa, aliuliza mjumbe huyo ambaye ni swahiba wa Zitto bwana Msafiri Mtemelwa
Kamati kuu ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) iliyokutana tarehe 30/4/2011 imeamua kumtoa Shibuda kwenye nafasi ya kukaimu nafasi ya Uenyekiti wa Mkoa wa Shinyanga. Lakini kwenye kikao hicho nusura zichapwe kati ya Lema na Zitto, baada ya Lema kumjia juu Zitto ya kuwa mambo yote hayo ya Shibuda kayasababisha yeye pale Shinyanga kwa kuwaambia baraza la uongozi la mkoa kumteua Shibuda kuwa Kaimu Mwenyekiti, wakati katiba ya chama inasema Kaimu Mwenyekiti anapaswa kutokana na Baraza la Uongozi la Mkoa,
Huku Shibuda akiwa si mjumbe wa Baraza hilo, ndipo aliposimama Zitto na kupinga kauli hizo, ndipo wabunge na wajumbe wa kamati kuu walipo kuja juu na kumkumbusha Zitto juu ya Shibuda ya kuwa aliwatukana wabunge.
Na akaambiwa aombe radhi akakataa na mpaka sasa hajaomba kwa nini Zitto unamtetea huyu jamaa, aliuliza mjumbe huyo ambaye ni swahiba wa Zitto bwana Msafiri Mtemelwa