Swali la msingi ambalo hata siku moja uongozi wa chama hawatakupatia jibu lake. Nijuavyo, shibuda alivutwa na mmoja wa viongozi wa CDM (zzk) baada ya kutemwa na ccm 2010. Kwa maslahi gani, imeendelea kuwa kitendawili.hili zee bana..sijui hata tuliliokota wapi?