Daffi Jr
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 3,824
- 909
Katika dhana inayoendela ya kuwaondoa wasaliti ndani ya Chadema; kamati kuu ya chama hicho kitakaa leo jumanne kujadili mambo mengi likiwamo la chaguzi za serikali za mitaa na nyendo za badhi ya watu ndani ya chama hicho!!!!!
Akiongea kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika siku ya juma mosi tarehe 11 katika kata ya moshono korna ya kiserian;
Mbunge wa Arusha mjini Mh Godbless Lema alisema hawataweza kuvumilia kuwaona wasaliti wakiendelea kudumu ndani ya chama hicho!!!Alisema hawatasita kuchukua hatua kwa yeyote anakiuka taratibu za chama akiwatolea mifano ya mh Zitto;Mwigamba;Mkumbo & etl!!!!Aliongeza kuwa wanda kukaa n kutoa maamuzi juu ya Shibuda!!!!! "Jumanne tarehe 14 tuakaa tutaamua hatima ya Shibuda;lazima aondoke"!Alisema
Maoni yangu: Chadema isimwonee haya vibara na vipandikizi vilivyoko ndani ya chima hicho.
Akiongea kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika siku ya juma mosi tarehe 11 katika kata ya moshono korna ya kiserian;
Mbunge wa Arusha mjini Mh Godbless Lema alisema hawataweza kuvumilia kuwaona wasaliti wakiendelea kudumu ndani ya chama hicho!!!Alisema hawatasita kuchukua hatua kwa yeyote anakiuka taratibu za chama akiwatolea mifano ya mh Zitto;Mwigamba;Mkumbo & etl!!!!Aliongeza kuwa wanda kukaa n kutoa maamuzi juu ya Shibuda!!!!! "Jumanne tarehe 14 tuakaa tutaamua hatima ya Shibuda;lazima aondoke"!Alisema
Maoni yangu: Chadema isimwonee haya vibara na vipandikizi vilivyoko ndani ya chima hicho.