Shibuda kuondolewa CHADEMA leo

Shibuda kuondolewa CHADEMA leo

Status
Not open for further replies.

Daffi Jr

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2011
Posts
3,824
Reaction score
909
Katika dhana inayoendela ya kuwaondoa wasaliti ndani ya Chadema; kamati kuu ya chama hicho kitakaa leo jumanne kujadili mambo mengi likiwamo la chaguzi za serikali za mitaa na nyendo za badhi ya watu ndani ya chama hicho!!!!!
Akiongea kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika siku ya juma mosi tarehe 11 katika kata ya moshono korna ya kiserian;

Mbunge wa Arusha mjini Mh Godbless Lema alisema hawataweza kuvumilia kuwaona wasaliti wakiendelea kudumu ndani ya chama hicho!!!Alisema hawatasita kuchukua hatua kwa yeyote anakiuka taratibu za chama akiwatolea mifano ya mh Zitto;Mwigamba;Mkumbo & etl!!!!Aliongeza kuwa wanda kukaa n kutoa maamuzi juu ya Shibuda!!!!! "Jumanne tarehe 14 tuakaa tutaamua hatima ya Shibuda;lazima aondoke"!Alisema

Maoni yangu: Chadema isimwonee haya vibara na vipandikizi vilivyoko ndani ya chima hicho.
 
Wamemchelesha sana huyu jamaa, tunataka chama ifikapo uchaguzi mwakani asiwe amesahaulika au kuachwa msaliti yeyote ndani.
 
Wanaenda kujadili nini juu ya Shibuda kama tayari amesha sema wanamuondoa?

Kina anaehamia cdm ni pandikizi?
Kama ndio hivyo mwana cdm halisi ni nani?
Au kauli hizi zinatumika makusudi ili kuendelea kushikilia chama?

Any way, long live cdm, tupate maendeleo ya kweli.
 
Chadema wanamuogopa sana Shibuda. Mbowe na Slaa wakimuona Shibuda wanatamani ardhi ipasuke waingie, wanamuogopa sana Shibuda
 
Wangevuta muda wakamuondoa last minute ya uchaguzi 2015 ; sasa hivi ataamia chama kingine na atashinda 2015 maana wananchi watamchangua.....
 
Shibuda ndani ya CHADEMA ni kama kirusi cha Ebola ndani ya mwili wa binadamu.
 
Naamini baada ya Chadema kumuondoa Zitto, they have learned their lesson by now!, kama wakimuondoa Shibuda sasa, then nitaamini Chadema will never learn!.

Ndani ya uongozi wa Chadema, kuna watu wenye busara sana, ambao kabla ya kufanya jambo, watafanya calculations za kitu kinachoitwa "risk mitigations" ili kuavoid "some negative consequences!", hivyo thay will advise chama do do the right thing, at the right time and do it right!. Ila pia ndani ya safu ya uongozi wa Chadema, kuna fools kibao!, na wengine ni vichaa kabisa!, thank God, kwenye kugombea uongozi, imetamkwa tuu "mtu mwenye akili timamu!", lakini hakuna kipimo chochote cha utimamu wa akili kinachofanyika!, ingekuwa wabunge wetu wanapimwa akili!, saa hizi wengi wa vichaa hawa wangelikuwa mahali panapowastahiki!.

Sasa kama Chadema hili hawalijui kuwa miongoni mwao kuna wenye busara, na kuna vichaa, hivyo wanapokaa kufanya maamuzi, wakiendelea kuupokea ushauri wa hao vichaa wao, bila wao kama chama kuwajua ni vichaa!, thai is their own funeral!.

Huu ukichaa, hauishii kwa viongozi tuu, umeshuka chini hadi kwa wanachama, wafuasi na mashabiki wao, wakiwemo hawa walio humu jf, wengi tuu ukiwasoma, utangundua ni vichaa kabisa, ila sio lazima mpaka hadi waokote makopo!.

Mingoni mwa viongozi vichaa wa Chadema, ni huyu mlengwa anaetakwa kufukuzwa!. Kuna type fulani ya vichaa, "they are better when contained than when let loose!", kwa formula ya "keep your friends close, your enemies closer!", Shibuda needs to be contained than let loose!", Shibuda sio Zitto, amefanyiwa tote aliyofanyiwa lakini amejinyamazia tuu, kwa sababu there is "brain in his head!", Shibuda ni "empty" kabisa, kumfukuza ni kama kumfungulia mbwa mwenye kichaa!, Chadema itaishia kuwa "embarrassed!.

Pasco.
 
Naamini baada ya Chadema kumuondoa Zitto, they have learned their lesson by now!, kama wakimuondoa Shibuda sasa, then nitaamini Chadema will never learn!.

Ndani ya uongozi wa Chadema, kuna watu wenye busara sana, ambao kabla ya kufanya jambo, watafanya calculations za kitu kinachoitwa "risk mitigations" ili kuavoid "some negative consequences!", hivyo thay will advise chama do do the right thing, at the right time and do it right!. Ila pia ndani ya safu ya uongozi wa Chadema, kuna fools kibao!, na wengine ni vichaa kabisa!, thank God, kwenye kugombea uongozi, imetamkwa tuu "mtu mwenye akili timamu!", lakini hakuna kipimo chochote cha utimamu wa akili kinachofanyika!, ingekuwa wabunge wetu wanapimwa akili!, saa hizi wengi wa vichaa hawa wangelikuwa mahali panapowastahiki!.

Sasa kama Chadema hili hawalijui kuwa miongoni mwao kuna wenye busara, na kuna vichaa, hivyo wanapokaa kufanya maamuzi, wakiendelea kuupokea ushauri wa hao vichaa wao, bila wao kama chama kuwajua ni vichaa!, thai is their own funeral!.

Huu ukichaa, hauishii kwa viongozi tuu, umeshuka chini hadi kwa wanachama, wafuasi na mashabiki wao, wakiwemo hawa walio humu jf, wengi tuu ukiwasoma, utangundua ni vichaa kabisa, ila sio lazima mpaka hadi waokote makopo!.

Mingoni mwa viongozi vichaa wa Chadema, ni huyu mlengwa anaetakwa kufukuzwa!. Kuna type fulani ya vichaa, "they are better when contained than when let loose!", kwa formula ya "keep your friends close, your enemies closer!", Shibuda needs to be contained than let loose!", Shibuda sio Zitto, amefanyiwa tote aliyofanyiwa lakini amejinyamazia tuu, kwa sababu there is "brain in his head!", Shibuda ni "empty" kabisa, kumfukuza ni kama kumfungulia mbwa mwenye kichaa!, Chadema itaishia kuwa "embarrassed!.

Pasco.
Mkuu unataka tuache kansa iendelee kuutafuna mwili?? Shibuda must go
 
Sioni kama ana madhara. Ni heri kumwacha wakati utamuondoa. Dawa nzuri ya kutibu jambo ni muda.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom