Chama ni cha kitaifa. Angalia idadi ya wabunge wake na mahali wanapotoka.
Chadema ina wabunge toka pande zote za nchi. Chadema ingekuwa na wabunge wengi zaidi isingekuwa wizi wa kura wa CCM.
Natamani sana kuona mwenyekiti wa CCM akitokea Mbeya, Iringa, Rukwa au Katavi. Hapo ndio tutajua kuwa CCM ni chama cha kitaifa !!!
Nimezipata kutoka ndani ya CHADEMA, sasa kuna mtafaruku unaendelea ndani ya CHADEMA baada ya mkakati wa mbunge wa maswa bwana Shibuda kutaka kugombea uenyekiti akipigiwa kampeni na kambi ya Zitto Kabwe
Shibuda si ndo alitangaza nia yake hiyo ktk Halmashauri kuu ya CCM Na akamwomba JK awe meneja wa kampeni yake? Huyu strategy zake ni kali. Binafsi naomba nafasi ya kuwa msaidizi wa JK, yaani naibu kampeni meneja wa Rais siyo mchezo. Hii timu yetu itakuwa kali.
Nimezipata kutoka ndani ya CHADEMA, sasa kuna mtafaruku unaendelea ndani ya CHADEMA baada ya mkakati wa mbunge wa maswa bwana Shibuda kutaka kugombea uenyekiti akipigiwa kampeni na kambi ya Zitto Kabwe
Chadema nafasi zote nyeti katika chama ni lazima zisimamiwe na wachaga au wale waliojitoa kulinda maslahi yao.
Na utaendelea kuwa kanyagio la wachaga kwa kuwa hujitambui bwenga wewe.Kauli hizi ni za watoto wadogo!
Nimezipata kutoka ndani ya CHADEMA, sasa kuna mtafaruku unaendelea ndani ya CHADEMA baada ya mkakati wa mbunge wa maswa bwana Shibuda kutaka kugombea uenyekiti akipigiwa kampeni na kambi ya Zitto Kabwe
mie nawapenda wachaga sijui kwanini hata mkapa alioa mchaga...sijui kwa sababu ya mlima kilimanjaro?Na utaendelea kuwa kanyagio la wachaga kwa kuwa hujitambui bwenga wewe.