Akiwa kwenye kampeni huko Maswa Mheshimiwa Shibuda ameungana na wazalendo wengine kukemea siasa za kuwagawa watanzania kupitia majimbo na kanda.
Akiwa kwenye kampeni huko Maswa Mheshimiwa Shibuda ameungana na wazalendo wengine kukemea siasa za kuwagawa watanzania kupitia majimbo na kanda.
Acha ujinga wewe alokuambia siasa za majimbo zinawagawa watu kwa makabila na kanda ni nani? Ulishawahi kusikia USA Kuna mkabila? Kanda ya ziwa ina makabila mangapi? Kusini na nyanda za juu je? Acheni ujinga wenu bhanaAkiwa kwenye kampeni huko Maswa Mheshimiwa Shibuda ameungana na wazalendo wengine kukemea siasa za kuwagawa watanzania kupitia majimbo na kanda.
USA sio Tanzania acheni kuiga mambo ya ajabuAcha ujinga wewe alokuambia siasa za majimbo zinawagawa watu kwa makabila na kanda ni nani? Ulishawahi kusikia USA Kuna mkabila? Kanda ya ziwa ina makabila mangapi? Kusini na nyanda za juu je? Acheni ujinga wenu bhana
Tanzania na USA kote wanaishi binadamu na zote zipo duniani.USA sio Tanzania acheni kuiga mambo ya ajabu
Hivi wewe ubongo wako ulipewa wa kazi gani? Mbona kama huwa hauushughulishi?USA sio Tanzania acheni kuiga mambo ya ajabu
Akiwa kwenye kampeni huko Maswa Mheshimiwa Shibuda ameungana na wazalendo wengine kukemea siasa za kuwagawa watanzania kupitia majimbo na kanda.
Babaako aliishatoka hospitali ya vichaa?Huyo kichaa anamuunga mkono meko, yeye hana sera yoyote, kwa kifupi hicho kichwa chake ni sawa na box tupu.
Na hata Wabunge wanagombea hizo nafasi kupitia kwenye MAJIMBO..hata Tume ya Uchaguzi ina kanda mbalimbali.