Kama hichi ndicho kipimo cha akili yako kazi ipo,ni sawa na kumtembeza bata mjini ukitarajia mauzo.Imefika muda sasa Wasukuma kutoka kanda ya ziwa kuachana na CDM chama cha kikanda na kikabila, Shibuda ananyanyashwa kutoka na Usukuma wake angekuwa ametoka kaskazini wala usingesikia maneno yoyote ya kashfa! Shibuda nakushauri ili swala kawashitakie wazee wa Kisukuma kama ulivyomshitaki Wenje, kwa wazee wa Mwanza na wazee wakakuelewa kama Wenje ni Mkenya hawana tena shida nae amalize kipindi chake aende zake kwao Kenya, Wasukuma mnaona mnavyodharauliwa na CDM.Mbona kina Selasini wanaipongeza CCM kila siku ata siku moja hawajaguswa au kwa sababu ni Wachagga!.
wewew ni mchovu tu tunakufahamu,hao wazee wa kisukums na mipasho ya kizaramo wapi na wapi?kama ni vijana ndani ya cdm wanao wa kutosha.Imefika muda sasa Wasukuma kutoka kanda ya ziwa kuachana na CDM chama cha kikanda na kikabila, Shibuda ananyanyashwa kutoka na Usukuma wake angekuwa ametoka kaskazini wala usingesikia maneno yoyote ya kashfa! Shibuda nakushauri ili swala kawashitakie wazee wa Kisukuma kama ulivyomshitaki Wenje, kwa wazee wa Mwanza na wazee wakakuelewa kama Wenje ni Mkenya hawana tena shida nae amalize kipindi chake aende zake kwao Kenya, Wasukuma mnaona mnavyodharauliwa na CDM.Mbona kina Selasini wanaipongeza CCM kila siku ata siku moja hawajaguswa au kwa sababu ni Wachagga!.
Mimi ndo maana sipendi kubeba haya makombo toka magamba mengine ni nuksi tuuu
yaonyesha kuwa Shibuda si mmojawapo wa CDM. Hana taarifa na yanayofanywa na WanaCDM kama wabunge. Yupo yupo tu kama mtu aliyekosea njia. Kama hayo ni maoni binafsi je na posho anachukua!!??
Huyu wamtose tuu kwani hana pakwenda ss vi amekuwa anatoa msimamo tofauti na chama chake
Duh haya bana mie sitii langu nitambiwa ati cdmJaman tatizo ni kuwa shibuda hakujua km akiingia cdm atatakiwa kufuata yote atakayoamriwa na ukoo wa mtei ndo maana anawapotezea
sHIBUDA amekuwa CCM muda sana na tena alikuwa mjumbe wa NEC na alikuwa akishinda kwa kura nyingi tu.Lakini ilifikia CCM wakagundua tatizo la shibuda na wakajitahidi kumkanya lakini hakujirudi.Ikafikia hali ya kutokuelewana na KAMATI KUU YA MKOA hadi RC.Hapo CCM wakasema basi na aende japo ni potential kwa chama mkoa.Hata CDM wakimtema hakuna atakayeshangaa mkoani SHY.kwa taarifa yako siasa za SHY kwa sasa zinahitaji mtu aliyekwenda shule, umma wa shinyanga unahitaji maendeleo na sisi ubabaishaji ndiyo maana CCM wamemwagwa.Shibuda must go, his service potential has started declining.