Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,752
- 21,974
Na hata matendo yetu ya ushetani au umalaika ndio vimepelekea hao watafiti kufanya utafiti waomshana jr: kama bado ni kijana tumia muda wako vizuri, la kama mtu wa makamo jiandae maisha ya uzeeni (shetani/malaika).
"Graph" ya maisha iliyochorwa na watafiti, kabla ya binadamu kurudi mavumbini, inaonesha kwamba huingia duniana akiwa mtoto (malaika) na kuzeeka akiwa na tabia za kitoto (malaika). Tofauti na utotoni, ambapo binadamu hajui chochote, uzeeni hujutia/ukumbuka maisha ya ujana na ikibidi hubadilika na kuwa malaika tena.
Ushetani/umalaika matendo yetu wenyewe.
Unaweza kujenga bifu kubwa ujanani na kushindwa kabisa kusamehe lakini kuna kitu cha ajabu mno hukuangazia kwa namna ya pekee kabisa na kujikuta unabadili msimamoThats very true.
Pia nimeshuhudia ndugu wanabifu tangu ujanani chui na paka, hawatembeleani, kila mtu akimtakia mabaya mwenzake, hakuna askofu wala mzazi aliyemudu kuwapatanisha , ila wanakuja kupatana uzeeni kwenye death bed wanapatanishwa na kuelewana.
Kama bifu la Joe Fraizer na Mohammad Ali.
Umepotea njia Mahesabu huku sio jukwaa la siasa ndugu
Kwenye ujumbe wowote
Kuna fasihi
Kuna lugha picha
Kuna lugha maizi nk
Reply yoyote hueleza mwelekeo wa mtu alichomaanisha
ni mwimbaji wa taarabu?Huyu akizeeka hawezi kujiachia tena kama alivyofanya hapoView attachment 1104605
Ulimwengu una mengiHafaniniii
Bado muda wa kufuturuHuyu akizeeka hawezi kujiachia tena kama alivyofanya hapoView attachment 1104605