Shetani akizeeka anakuwa malaika

Shetani akizeeka anakuwa malaika

mshana jr: kama bado ni kijana tumia muda wako vizuri, la kama mtu wa makamo jiandae maisha ya uzeeni (shetani/malaika).

"Graph" ya maisha iliyochorwa na watafiti, kabla ya binadamu kurudi mavumbini, inaonesha kwamba huingia duniana akiwa mtoto (malaika) na kuzeeka akiwa na tabia za kitoto (malaika). Tofauti na utotoni, ambapo binadamu hajui chochote, uzeeni hujutia/ukumbuka maisha ya ujana na ikibidi hubadilika na kuwa malaika tena.

Ushetani/umalaika matendo yetu wenyewe.
Na hata matendo yetu ya ushetani au umalaika ndio vimepelekea hao watafiti kufanya utafiti wao
Between mimi nimejaribu kuiweka kwenye lugha rahisi ya kueleweka
 
Inapofikia hapa rafiki wa kweli ni Kristo Yesu pekee au mtume mwingine yeyote kwa imani yako
1472388412503.jpg
 
Thats very true.
Pia nimeshuhudia ndugu wanabifu tangu ujanani chui na paka, hawatembeleani, kila mtu akimtakia mabaya mwenzake, hakuna askofu wala mzazi aliyemudu kuwapatanisha , ila wanakuja kupatana uzeeni kwenye death bed wanapatanishwa na kuelewana.

Kama bifu la Joe Fraizer na Mohammad Ali.
Unaweza kujenga bifu kubwa ujanani na kushindwa kabisa kusamehe lakini kuna kitu cha ajabu mno hukuangazia kwa namna ya pekee kabisa na kujikuta unabadili msimamo
 
Kwenye ujumbe wowote
Kuna fasihi
Kuna lugha picha
Kuna lugha maizi nk
Reply yoyote hueleza mwelekeo wa mtu alichomaanisha

Nimekupata mkuu....na huu ndo uhuru wa kuchangia madam husitumie lugha za matusi,nna uhakika hajatukana mtu....ila katumia lugha ya picha
 
Huyu shetani wetu hata akizeeka hataweza kamwe kuwa malaika zaidi atazidi kuwa shetani
 
Mkuu mshana jr naona unanipa elimu kwa njia shirikishi. Hutaki kabisa kunilisha matilio moja kwa moja. Umegusia mzee Yusufu ni kweli kuna mahala nilisoma inadaiwa eti kaacha taarabu kamrudia Muumba wake.
 
Huyu akizeeka hawezi kujiachia tena kama alivyofanya hapo
tapatalk_1558516093753.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom