Sheria za msingi za kuishi pamoja

Sheria za msingi za kuishi pamoja

2. ....Ukienda kuhani Msibani watu huwa hatuagiiii tangu enzi izooo, unakata kona unasepaaaa ata sijui kwa nini?
4.... in changamoto kwenye maswala mengi ikiwemo ahadi ya ndoa/kuoanaaa
20... ajuaye siri ya kilichoko MTUNGINI ni mwenye mtungi
Izo ni mambo za imani ktk jamii flani....tunatofautiana
 
Hajakutana na timbwili timbwili la binti wa uswazi, anaongea kama kameza memory kadi. Unajibu hili ameshaongeza mengine kama matano, lazima uingie chaka.
Usikimbie mkuu,hulka ya mwanamke yeyote duniani ni kupenda kuongea,ukiona mwanamke haongeiongei ukimwanzishia stori basi ujue kuna namna😂😂😂
Nalog off
 
Usikimbie mkuu,hulka ya mwanamke yeyote duniani ni kupenda kuongea,ukiona mwanamke haongeiongei ukimwanzishia stori basi ujue kuna namna😂😂😂
Nalog off
Hilo gemu wanaweza kama wanajibizana wao kwa wao, kwa mwanaume lazima uingie mitini labda upate msaada kwa majirani. maana mwanaume kuongea siyo hulka yake, labda wale wanaoitwa waswahilina wana nafuu..
 
Hilo gemu wanaweza kama wanajibizana wao kwa wao, kwa mwanaume lazima uingie mitini labda upate msaada kwa majirani. maana mwanaume kuongea siyo hulka yake, labda wale wanaoitwa waswahilina wana nafuu..
Ndio maana tunashauriwa tusibishane nao.
Nalog off
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom