Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,948
- 13,378
1. Ukifika sehemu.... Salimia
2. Ukiondoka sehemu..... Aga
3. Ukisaidiwa....... Shukuru
4. Ukiahidi...... Tekeleza
5. Ukikosea.... Omba msamaha
6. Kama hujaelewa..... Uliza
7. Unacho... Gawa kwa wengine
8. Huna.... Usione donge
9. Ukivunja.... Lipa
10. Kama hupendi...... Heshimu
11. Ukipenda... Onesha upenda
12. Huwezi kusaidia... Usisumbue
13. Ukiharibu... Rekebisha
14. Ukikopa.... Lipa
15. Wakikuongelesha.... Wajibu
16. Ukiwasha....... Zima
17. Ukifungua...... Funga
18. Ukinunua.... Lipa
19. Ukichafua..... Safisha
20. Ukitia mimba.... Hudumia
Ukizifuata sheria hizi,utaona jinsi utakavyoishi na watu vizuri hata kama huna hela,hii ni kwa binadamu wote hata kama ni kiongozi.
Nalog off
2. Ukiondoka sehemu..... Aga
3. Ukisaidiwa....... Shukuru
4. Ukiahidi...... Tekeleza
5. Ukikosea.... Omba msamaha
6. Kama hujaelewa..... Uliza
7. Unacho... Gawa kwa wengine
8. Huna.... Usione donge
9. Ukivunja.... Lipa
10. Kama hupendi...... Heshimu
11. Ukipenda... Onesha upenda
12. Huwezi kusaidia... Usisumbue
13. Ukiharibu... Rekebisha
14. Ukikopa.... Lipa
15. Wakikuongelesha.... Wajibu
16. Ukiwasha....... Zima
17. Ukifungua...... Funga
18. Ukinunua.... Lipa
19. Ukichafua..... Safisha
20. Ukitia mimba.... Hudumia
Ukizifuata sheria hizi,utaona jinsi utakavyoishi na watu vizuri hata kama huna hela,hii ni kwa binadamu wote hata kama ni kiongozi.
Nalog off
